Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Logarusic linked with Harambee Stars job

>Hardly a week after extending his stay at the Msimbazi Street club, Simba SC, head coach Zdravko Logarusic might be on his way to Kenya’s Harambee Stars.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0

Kikosi cha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' bao1-0 katika mechi iliyomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Nyayo uliopo jijini Nairobi!

 

9 years ago

BBCSwahili

Taifa stars, Harambee Stars hoi

Michezo ya awali ya kusaka tiketi ya kushiriki kombe la dunia nchini Urusi 2018 ukanda wa Afrika, zimepigwa usiku wa kuamka leo

 

11 years ago

BBCSwahili

Harambee Stars wakwama Khartoum

Timu ya soka ya Kenya Harambee Stars imeripotiwa kukwama mjini Khartoum baada ya kuwasili kwa mechi yao ya kirafiki na Sudan

 

11 years ago

BBCSwahili

Harambee stars yarejea nyumbani

Baada ya kukataa kusafiri kwenda Darfur kuchuana na timu ya taifa ya Sudan kwenye mechi ya kirafiki siku ya Alhamisi

 

9 years ago

StarTV

Twiga Stars kujipima ubavu na Harambee Starlets.

TIMU ya Taifa ya  Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) iliyopo kambini kisiwani Zanzibar, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya taifa ya Wanawake kutoka Kenya (Harambee Starlets) Agosti 23, 2015.
Mchezo huo wa kirafiki utachezwa katika uwanja wa Aman Kisiwani Zanzibar, ikiwa ni sehmu ya maandalizi ya kikosi hicho kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) zitakazofayika nchini Congo-Brazzavile kuanzia Septemba 4 – 19, 2015.
Twiga Stars inaendelea na mazoezi kutwa...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kenyatta aipeleka Harambee Stars Brazil kwa ziara ya mafunzo kwa kushuhudia kombe la dunia

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameizawadi kwa kuifadhili timu ya taifa ya soka Harambe Stars ziara ya kwenda Brazil kutazama michuano ya kombe la dunia Hafla ya kuikabidhi rasmi ufadhili huo timu hiyo, ilifanyika katika ikulu ya Rais Ijumaa ambapo wachezaji kumi na moja wa timu hiyo walikabidhiwa tiketi za ndege kwenda Brazil.  Kitendo cha Rais bila shaka ni jambo la kutaka kuwatia motisha wachezaji wa timu ya taifa ambao hivi karibuni waliicharaza Djibouti mabao mawili kwa moja katika duru...

 

11 years ago

GPL

RAIS KENYATTA AIPELEKA HARAMBEE STARS BRAZIL KWA ZIARA YA MAFUNZO KWA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA

Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta akitoa hotuba yake katika Ikulu ya Nairobi wakati wa hafla ya kuiaga timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars aliyoipa ofa ya kwenda ziara ya mafunzo kwenye Kombe la Dunia nchini Brazil.
Rais Kenyatta akiongea na wachezaji wa Harambee Stars.…

 

10 years ago

IPPmedia

Higher learning institutions challenged to produce job creators not job seekers


IPPmedia
Higher learning institutions challenged to produce job creators not job seekers
IPPmedia
Vice President, Dr Mohammed Gharib Bilal yesterday challenged local universities to transform their graduates from Job seekers to job creators. Dr. Bilal made the challenge when addressing the ongoing 6th Higher Education Forum and Exhibition 2014 in ...

 

11 years ago

IPPmedia

Is our education system quality enough to produce job creators and not job ...


IPPmedia
Is our education system quality enough to produce job creators and not job ...
IPPmedia
The Director, knowledge management at the COSTECH, Faith Shimba speaking to participants and media shortly before officially launched the Consortium. On Monday this week, a consortium of academic publishers was launched at the Commission for ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani