Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘BETHIDEI’ YA MENINA FULL SHANGWE BURUDANI

Meninah akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zake. Meninah akimlisha keki kaka yake. …Akimlisha mama yake keki. DJ Tass…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SAKINA WA GLOBAL AADHIMISHA ‘BETHIDEI’ YAKE KWA SHANGWE

Sakina akijiandaa kuwalisha keki baadhi ya wafanyakazi wenzake. ‘Mtoto aliyezaliwa’, Sakina, akimimina juisi kwa wafanyakazi wenzake.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Shangwe za Coke Studio zaendelea kuleta burudani kwenye jamii

COKE STUDIO PICHA 3

Mwanamuziki Fid Q akitoa burudani katika moja ya tamasha  la Coke Studio.

PICHA COKE 1

Mwanamuziki Ali Kiba na Victoria Kimani wakiwa katika onyesho la Coke Studio.

COKE STUDIO PICHA 5

Wasanii wa muziki wakitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio mkoani Mwanza.

COKE STUDIO PICHA 2

Wanafunzi kuanzia shule za msingi nchini hadi vyuo vikuu wameshiriki kuonyesha vipaji vyao katika msimu huu wa Coke Studio  kama wanavyoonekana  katika moja ya tamasha la Coke Studio.

-Wanafunzi na vijana mitaani waendelea kupata burudani

Onyesho la...

 

11 years ago

Michuzi

libeneke la full shangwe lapata kwikwi ya kiufundi, kurudi hewani muda si mrefu ujao

WADAU WA FULLSHANGWE BLOG TUMEPATA TATIZO LA KWIKWI YA KIUFUNDI HAPO JANA HIVYO TUNALIFANYIA KAZI HARAKA KWA KADIRI INAVYOWEZEKANA ILI TUWEZE KURUDI HEWANI.
TUNAOMBA RADHI KWA WADAU WETU NBC, NHIF, TTB, NMB, THE FADHAGETI SANITARIUM, WILNA INTERNATIONAL NA WENGINE WOTE PAMOJA NA WATEMBELEAJI WETU POPOTE WALIPO KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA.
JOHN BUKUKU MMILIKI WA FULL SHANGWE BLOG

 

11 years ago

GPL

BONANZA LA JOGGING & GLOBAL BREAKING NEWS FULL BURUDANI

'Nyomi' ya watu waliofurika kwenye Ukumbi wa burudani wa Dar Live wakati wa Bonanza la Jogging & Global Breaking News. Wachezaji wa netiboli wa timu ya Ndiyo Sisi (wenye jezi za kijani), wakiwania mpira mbele ya mchezaji wa Barack, katika Bonanza…

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band waleta homa ya burudani ndani ya Jiji la Dar, njoo utibiwe Thai Village Ijumaa hii kwa burudani ya nguvu

DSC_0001

Sam Mapenzi akiamsha amsha Taratibuuuuuuu ndani ya Thai Village.

DSC_0002

Winfrida Richard akiimba kwa sauti nyororooooo kabisaaaa amsha amsha kwa mashabiki ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0003

Sam Mapenzi kushoto akiwa na Winfrida Richard wakitoa vocal za ukweli kuwapa raha mashabiki wao ndani ya Thai Village.

DSC_0004

DSC_0008

Aneth Kushaba AK47  toka kulia akiongoza makamuzi ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0011

Joniko Flower kushoto  akiongoza makamuzi ya sebene kaliii akipewa sapoti na Sony Masamba.

DSC_0014

 

10 years ago

CloudsFM

MENINA KUFUNGA NDOA?

Msanii wa Bongo Fleva,Menina amepongezwa na mashabiki wake baada ya kutupia picha kwenye mtandao akiwa amevaa shela la harusi huku watu wakijiuliza huenda ameolewa kwa siri au anatarajia kufunga ndoa.

Menina aliandika hivi Alhamdulilah finally soon to come Allah! Ibarik inshaallah gheir nakupenda saana #habib wangu......
Baadhi ya mshabiki walimpongeza: sophybeiby @meninahladivah heee hongera ndo hata kunitonya mdogo wangu haya mwaya kila la kheri Nakupenda sana.

ramadhanijuma58 Umependeza...

 

10 years ago

GPL

MENINA:SIJATOA MIMBA

Stori: Waandishi Wetu
Mwanamuziki Hot Sexy hapa Bongo, Meninah Atick ameifungukia ishu ya kuchoropoa mimba ya msanii Nasibu Abdul ‘Diamond’ na kusema hajawahi kubeba mimba ya staa huyo na wala katika maisha yake hajawahi kufanya kitendo hicho. Mwanamuziki Hot Sexy hapa Bongo, Meninah Atick. “Jamani mimi ni mdogo, kwanza kwa nini watu wanapenda kunibebesha vitu vikubwa, mimi sijawahi kubeba wala kuchoropoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani