‘BETHIDEI’ YA MENINA FULL SHANGWE BURUDANI
Meninah akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zake. Meninah akimlisha keki kaka yake. …Akimlisha mama yake keki. DJ Tass…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSAKINA WA GLOBAL AADHIMISHA ‘BETHIDEI’ YAKE KWA SHANGWE
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Shangwe za Coke Studio zaendelea kuleta burudani kwenye jamii
Mwanamuziki Fid Q akitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio.
Mwanamuziki Ali Kiba na Victoria Kimani wakiwa katika onyesho la Coke Studio.
Wasanii wa muziki wakitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio mkoani Mwanza.
Wanafunzi kuanzia shule za msingi nchini hadi vyuo vikuu wameshiriki kuonyesha vipaji vyao katika msimu huu wa Coke Studio kama wanavyoonekana katika moja ya tamasha la Coke Studio.
-Wanafunzi na vijana mitaani waendelea kupata burudani
Onyesho la...
11 years ago
Michuzi11 Feb
libeneke la full shangwe lapata kwikwi ya kiufundi, kurudi hewani muda si mrefu ujao
TUNAOMBA RADHI KWA WADAU WETU NBC, NHIF, TTB, NMB, THE FADHAGETI SANITARIUM, WILNA INTERNATIONAL NA WENGINE WOTE PAMOJA NA WATEMBELEAJI WETU POPOTE WALIPO KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA.
JOHN BUKUKU MMILIKI WA FULL SHANGWE BLOG
10 years ago
GPL26 Dec
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJPLWWedmITXz7bQ4TDWNpoVGY4YiWWCXIeDfNahshGjf0**x6-*2isnfsFZV1-xeLaYjE2Ya6QJcnEWpJyfb-k3/TAMASHALAMATUMAINIA3.jpg)
11 years ago
GPLBONANZA LA JOGGING & GLOBAL BREAKING NEWS FULL BURUDANI
11 years ago
Dewji Blog30 May
Skylight Band waleta homa ya burudani ndani ya Jiji la Dar, njoo utibiwe Thai Village Ijumaa hii kwa burudani ya nguvu
Sam Mapenzi akiamsha amsha Taratibuuuuuuu ndani ya Thai Village.
Winfrida Richard akiimba kwa sauti nyororooooo kabisaaaa amsha amsha kwa mashabiki ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Sam Mapenzi kushoto akiwa na Winfrida Richard wakitoa vocal za ukweli kuwapa raha mashabiki wao ndani ya Thai Village.
Aneth Kushaba AK47 toka kulia akiongoza makamuzi ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Joniko Flower kushoto akiongoza makamuzi ya sebene kaliii akipewa sapoti na Sony Masamba.
10 years ago
CloudsFM19 Dec
MENINA KUFUNGA NDOA?
Msanii wa Bongo Fleva,Menina amepongezwa na mashabiki wake baada ya kutupia picha kwenye mtandao akiwa amevaa shela la harusi huku watu wakijiuliza huenda ameolewa kwa siri au anatarajia kufunga ndoa.
Baadhi ya mshabiki walimpongeza: sophybeiby @meninahladivah heee hongera ndo hata kunitonya mdogo wangu haya mwaya kila la kheri Nakupenda sana.
ramadhanijuma58 Umependeza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbX-UZWpCLC7vQwvuDx-xQBVkosKgE5iyMu67mD37yYXs9diIP3GG5PBJ0v-SepsPtVRerg8qVwNqRBycWIhq*1D/meninah.jpg)
MENINA:SIJATOA MIMBA