‘JICHO LA FIKRA’ LITUMIKE BUNGENI TUKIELEKEA UCHAGUZI MKUU
![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jLn4sw8nq40Ushl9qxes4gQ43cKwjzsxjZdt3x1bZs9orFSZDQhUKuV*-tAaRdjUGHkww*FRtQbVDHNLiLQWPXq/Makerereat90MwalimuJuliusKambarageNyerere.jpg?width=650)
Na Eric Shigongo/Uwazi MUNGU ni mwema na ndiyo maana amenichagua mimi na wewe kuendelea kuishi hadi leo, hivyo tumsifu! Baada ya kusema hayo nianze makala haya kwa kusema kuwa wakati tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu hapa Tanzania, Oktoba mwaka huu, tayari yapo matukio yanayojitokeza yakiwa na taswira tofauti. Kimsingi matukio haya yanahitaji mtu atumie zaidi ‘jicho la fikra’, kuliko macho ya kawaida ili kupata...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Kuna mengi ya kujikumbusha tukielekea kwenye uchaguzi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j7G7mpYydxk/XuSKTqIVkkI/AAAAAAALtqw/AI0mBa1BwjkLD7vTo_qEKkR7eLz2fQpIgCLcBGAsYHQ/s72-c/J.jpg)
VYAMA VYA SIASA 12 VISIVYO NA WAWAKILISHI BUNGENI VYATANGAZA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25,KUSIMAMISHA WAGOMBEA KILA JIMBO
Baadhi ya vyama hivyo ni DP,NRA, AAFP, UMD, UDDP, Makini, TLP,UDP, SAU, NLD, ADC, na CCK ambapo pamoja na mambo mengine vitafanya kampeni katika uchaguzi huo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mratibu wa umoja huo, Rashid Rai amesema wanatangaza kushirikiana katika uchaguzi mkuu kwenye ngazi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_r7eQYpXhjo/U3JOLwB0bFI/AAAAAAAFhbU/R20IeCt1v6w/s72-c/download+(4).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TyyM5nxzSxI/Vk2TJuJe8hI/AAAAAAAIGxc/X3iRSkMpi-M/s72-c/20151119010139.jpg)
LIVE KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO: WABUNGE WALIPIGIA KURA JINA LA WAZIRI MKUU MKUU MTEULE
![](http://1.bp.blogspot.com/-TyyM5nxzSxI/Vk2TJuJe8hI/AAAAAAAIGxc/X3iRSkMpi-M/s640/20151119010139.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-av8vBAUHDd8/Vk2ROv1DC0I/AAAAAAAIGwA/A5_pKuAlqag/s640/20151119010428.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCd5XojxOHM/Vk2ROsOC44I/AAAAAAAIGv8/xy76_vB_dXg/s640/20151119010513.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3A78qlmYt8E/Vk2RPlNb_cI/AAAAAAAIGwM/E2bGJ_67cXk/s640/20151119010522.jpg)
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Kombe la FA litumike kukuza soka nchini