Luciana Campagnoli: Afariki kutokana na saratani baada ya kupona corona
Madaktari walisitisha tiba ya saratani ya Bi Luciana Campagnoli wakati alipoambukizwa virusi vya Covid-19.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWAGONJWA 37 WARUHUSIWA BAADA YA KUPONA CORONA
Na.WAMJW-Dar es Salaam.
Wagonjwa 37 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona (COVID-19) wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya vipimo vya mwisho kuthibitisha kwamba hawana maambukizi ya COVID-19.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa sabuni na fedha kutoka kampuni ya Azam group ya jijini hapa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa wagonjwa hao 37 ni kati...
Wagonjwa 37 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona (COVID-19) wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya vipimo vya mwisho kuthibitisha kwamba hawana maambukizi ya COVID-19.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa sabuni na fedha kutoka kampuni ya Azam group ya jijini hapa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa wagonjwa hao 37 ni kati...
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Mama yake meneja wa Manchester City Pep Gardiola afariki kutokana na corona
Mama yake Meneja wa timu ya Manchester City Pep Guardiola, amefariki dunia mjini Barcelona akiwa na umri wa miaka 82 baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona
5 years ago
MichuziWagonjwa 37 waruhusiwa baada ya kupona
Na.WAMJW-Dar es Salaam.
Wagonjwa 37 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona (COVID-19) wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya vipimo vya mwisho kuthibitisha kwamba hawana maambukizi ya COVID-19.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa sabuni na fedha kutoka kampuni ya Azam group ya jijini hapa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa wagonjwa hao 37 ni...
Wagonjwa 37 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona (COVID-19) wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya vipimo vya mwisho kuthibitisha kwamba hawana maambukizi ya COVID-19.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa sabuni na fedha kutoka kampuni ya Azam group ya jijini hapa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa wagonjwa hao 37 ni...
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Asprini inapunguza vifo kutokana na Saratani
Watafiti wanasema watu walio na zaidi ya miaka 50 wanaweza kutumia dawa hiyo kila siku ya maisha yao kujiepusha na Saratani.
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump
Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Eric Yuan, bilionea aliyetajirika kutokana na corona na kwa nini aliomba msamaha
Wiki chache zilizopita usingemjua . Ama pengine sio sasa, lakini kulikuwa na uwezekano kwamba wakati wa karantini uliweza kuwasiliana na rafiki zako kwa sababu yake .
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Watu saba wathibitishwa kupona Rwanda
Rwanda imetangaza kwamba watu 7 wamepona virusi vya Corona wiki tatu baada ya kuwa katika kituo cha matitabu ya virusi hivyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s72-c/10...jpg)
RAIS MAGUFULI: MTOTO WANGU ALIUGUA CORONA NA KUPONA KWA KUJIFUKIZA,KULA MALIMAO
Haki miliki ya picha![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s400/10...jpg)
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba mwanawe aliambukizwa virusi vya corona lakini akapona baada ya kujitenga,kunywa malimao na kujifukiza.Rais Magufuli amezungumza wakati akitoa salamu kwa watanzania aliposhiriki ibada ya Jumapili katika kanisa la kilutheri Usharika wa Chato mkoani Geita.''Mtoto wangu alipata corona....mtoto wa kuzaa mimi , alijifungia kwenye chumba huko akaanza kujifukiza akanywa malimao na tangawizi, amepona yuko mzima anapiga push ups''...
![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s400/10...jpg)
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba mwanawe aliambukizwa virusi vya corona lakini akapona baada ya kujitenga,kunywa malimao na kujifukiza.Rais Magufuli amezungumza wakati akitoa salamu kwa watanzania aliposhiriki ibada ya Jumapili katika kanisa la kilutheri Usharika wa Chato mkoani Geita.''Mtoto wangu alipata corona....mtoto wa kuzaa mimi , alijifungia kwenye chumba huko akaanza kujifukiza akanywa malimao na tangawizi, amepona yuko mzima anapiga push ups''...
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Kasisi afariki kutokana na Ebola
Kasisi mmoja Muhispania aliyeambukizwa Ebola, Magharibi mwa Afrika , amefariki kutokana na homa hiyo hospitalini mjini Madrid.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania