Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Luciana Campagnoli: Afariki kutokana na saratani baada ya kupona corona

Madaktari walisitisha tiba ya saratani ya Bi Luciana Campagnoli wakati alipoambukizwa virusi vya Covid-19.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAGONJWA 37 WARUHUSIWA BAADA YA KUPONA CORONA

Na.WAMJW-Dar es Salaam.
Wagonjwa 37 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona (COVID-19) wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya vipimo vya mwisho kuthibitisha kwamba hawana maambukizi ya COVID-19.
Hayo yamesemwa leo  na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa sabuni na fedha kutoka kampuni ya Azam group ya jijini hapa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa wagonjwa hao 37 ni kati...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mama yake meneja wa Manchester City Pep Gardiola afariki kutokana na corona

Mama yake Meneja wa timu ya Manchester City Pep Guardiola, amefariki dunia mjini Barcelona akiwa na umri wa miaka 82 baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona

 

5 years ago

Michuzi

Wagonjwa 37 waruhusiwa baada ya kupona

Na.WAMJW-Dar es Salaam. 
Wagonjwa 37 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona (COVID-19) wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya vipimo vya mwisho kuthibitisha kwamba hawana maambukizi ya COVID-19.

Hayo yamesemwa leo  na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa sabuni na fedha kutoka kampuni ya Azam group ya jijini hapa

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa wagonjwa hao 37 ni...

 

11 years ago

BBCSwahili

Asprini inapunguza vifo kutokana na Saratani

Watafiti wanasema watu walio na zaidi ya miaka 50 wanaweza kutumia dawa hiyo kila siku ya maisha yao kujiepusha na Saratani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump

Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Eric Yuan, bilionea aliyetajirika kutokana na corona na kwa nini aliomba msamaha

Wiki chache zilizopita usingemjua . Ama pengine sio sasa, lakini kulikuwa na uwezekano kwamba wakati wa karantini uliweza kuwasiliana na rafiki zako kwa sababu yake .

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu saba wathibitishwa kupona Rwanda

Rwanda imetangaza kwamba watu 7 wamepona virusi vya Corona wiki tatu baada ya kuwa katika kituo cha matitabu ya virusi hivyo.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI: MTOTO WANGU ALIUGUA CORONA NA KUPONA KWA KUJIFUKIZA,KULA MALIMAO

Haki miliki ya picha
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba mwanawe aliambukizwa virusi vya corona lakini akapona baada ya kujitenga,kunywa malimao na kujifukiza.Rais Magufuli amezungumza wakati akitoa salamu kwa watanzania aliposhiriki ibada ya Jumapili katika kanisa la kilutheri Usharika wa Chato mkoani Geita.''Mtoto wangu alipata corona....mtoto wa kuzaa mimi , alijifungia kwenye chumba huko akaanza kujifukiza akanywa malimao na tangawizi, amepona yuko mzima anapiga push ups''...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kasisi afariki kutokana na Ebola

Kasisi mmoja Muhispania aliyeambukizwa Ebola, Magharibi mwa Afrika , amefariki kutokana na homa hiyo hospitalini mjini Madrid.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani