Lugha ya Kiswahili inavyoenea duniani duniani
Inafahamika kuwa Tanzania ni kitovu cha lugha ya Kiswahili na hili halina ubishi. Kutokana na hali hii, mataifa mengi yenye taasisi za lugha kama vituo vya kufundisha Kiswahili na utamaduni wake vinaitegemea sana Tanzania kama chanzo cha taaluma ya Kiswahili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMkutano na Viongozi wa Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU)
KAMATI YA LUGHA NA UTAMADUNIKamati ya Lugha na utamaduni, Jumuiya ya Watanzania Washington DC, Maryland na Virginia (DMV) inapenda kuwaalika wana DMV na wadau wote wa Lugha ya Kiswahili kwenye mkutano na viongozi wa Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) utakaofanyika siku ya Ijumaa Septemba 26, 2014 kuanzia saa nane mchana. Hii ni Fursa ya kukutana wa Wahadhiri wa lugha ya Kiswahili kutoka Vyuo mbali mbali hapa Marekani kwa lengo moja la kuendeleza lugha yetu ya Kiswahili. Anuani...
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali na hasa nyimbo, misemo, nahau na...
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Lugha sanifu ya Kiswahili.
Katika makala zangu zilizotangulia, nilijikita zaidi katika makosa yanayojitokeza katika magazeti ya Kiswahili ya kila siku. Wanaosoma makala haya baadhi wamefanikiwa kuepuka makosa yao. Ni matumaini yangu kuwa moyo wa kupenda kujiendeleza uendelee kuimarika na kushamiri kwa lengo la kuwa mfano wa kuigwa kwa waandishi wengin
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Ukuzaji wa Lugha ya Kiswahili
Watumiaji muhimu wa lugha ya Kiswahili nimewagawa katika makundi mawili. Kundi la kwanza ni wale wanaozungumza kwa maana ya kujadili jambo kwenye kongamano, semina, warsha au kuhutubia katika mikutano ya hadhara. Kundi la pili ni la waandishi wa magazeti, makabrasha, vipeperushi na wale wanaotangaza katika vyombo vya habari kama redio na runinga. Katika makundi hayo mawaili wote wanatakiwa kutumia lugha sanifu na fasaha kwa lengo la kuwaelimisha au kuwahabarisha watu.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Utafiti wa Lugha ya Kiswahili
Katika mojawapo ya makala zangu, nimewahi       kueleza kuwa mojawapo ya njia za kukiimarisha Kiswahili ili kiwe kweli ni tunu ya taifa ni lazima serikali itoa fedha za kutosha za kufanya utafiti lengo likiwa ni kuimarisha msamiati na istilahi za Kiswahili na hatimaye kuchapisha kamusi za istilahi za taaluma mbalimbali. Tunaweza kufanya hivyo kwa kutumia hazina iliyopo katika lugha zetu za asili zikiwamo lugha za Kibantu na pia zile ambazo siyo za Kibantu. Eneo jingine la...
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Uchambuzi wa lugha ya Kiswahili
Ningependa kuwauliza wasomaji wangu  kwa nini baadhi ya waandishi wa magazeti hawazingatii maelekezo na maoni  yanayotolewa mara kwa mara katika gazeti hili kuhusu uandishi bora. Inawezekana kuwa baadhi ya waandishi hawa hawasomi makala zinazolenga kuinua uwezo wao kitaaluma ama hawaelewi au hawapendi kujifunza.
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Siku ya wanawake Duniani: Ilikuwaje Machi 8 ikawa Siku ya Wanawake Duniani
Tunaangazia siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka kuanzi jinsi siku hii muhimu iliyobuniwa zaidi ya karne moja ilyopita.
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Jiendeleze katika lugha ya Kiswahili
Watu makini katika lugha ya Kiswahili waliwahi kusema kuwa njia pekee za kukieneza na kukiimarisha Kiswahili ni kuandaa maandishi ambayo yatasomwa na watu wengi kwa kuzingatia msemo usemao, “Watu hupenda kusikia lakini zaidi sana hutaka kuonaâ€. Kwa hiyo kwa kupitia njia ya uandishi itawezesha kusaidia habari kusomwa na kuenea sehemu kubwa ya nchi na watu wengi wakasoma maandishi hayo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania