Lulu: Nyumba Niliyomzawadia Mama Sikuhongwa, Nimejenga Mwenyewe
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michel ‘Lulu’amesema kuwa nyumba aliyomzawadia mama yake siyo ya kuhongwa bali amejenga mwenywe.
Lulu alieleza hayo kwenye mahojiano aliyoyafanya na kipindi cha televisheni cha The Sporah Show.
Je lulu aliwezaje kujenga nyumba hiyo ya kisasa? Kwa kipato gani hasa anachokipata? Maswali haya yalilipelekea baadhi ya watu kudah labda alihongwa.
Lulu amelifungukia swala hilo kama ifuatavyo;
“Kiukweli ile nyumba nimeanza kujenga nikiwa bado mdogo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaEyy*2seFfBSsXhkjhm*xFEtl5Lb0ZVIMiSlmxwg-XPmZRp4HgDx3OagzNzshY6YqZ4AOADEWWcjE0a7vCS6VT0/LULU.jpg)
LULU AMZAWADIA MAMA’KE NYUMBA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mamalulu.jpg?width=650)
MADAI YA KUUZA NYUMBA, MAMA LULU AWAKA!
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s72-c/Lulu-na-mama.png)
LULU ASEMA NYUMBA ALIYOMZAWADIA MAMA YAKE SI YA KUHONGWA, AMEJENGA KWA MIAKA MINNE
![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s640/Lulu-na-mama.png)
Lulu alimpa zawadi hiyo mama yake kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa January, 2015. Je Lulu aliwezaje kufanya mambo makubwa kama hayo katika umri mdogo na kwa kipato cha kuigiza peke yake? Hayo ni maswali ambayo wengi walijiuliza, kiasi cha kuwafanya wengine waamini kuwa labda amehongwa.Lulu amesema...
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTYIL3aKtLUstTPHl5Qo3xEnzw0msBgljuJB8KRdNrbub*ravCUwPHTfCXkCpeyWM4ThRQo7YkVLuoDQRZ0DJFX/Judithtwoandahalfmen1360629320802560.jpg?width=650)
SHOGA, NYUMBA NDOGO UMEZITAKA MWENYEWE
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2QH0PUKTJC0/VONfD20NZ-I/AAAAAAADZt8/fQbvRTJEZak/s72-c/6921526e62150a8871edd4c0bd02a8ef.jpg)
AMUUA MDENI WAKE NA KUMZIKA MWENYEWE KISHA KUHAMA NYUMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2QH0PUKTJC0/VONfD20NZ-I/AAAAAAADZt8/fQbvRTJEZak/s1600/6921526e62150a8871edd4c0bd02a8ef.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-buN1feY9SYQ/VONfEDjNNuI/AAAAAAADZuA/gHkFqTaXPkA/s1600/d644d6c391d60d1b0c603848fac992a5.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtr1cdVx9tk-ZbNWOxYi05WgkjzV9wU-RTMz9vEPaeNenlkACwbpi2FPah6SXq4YWp5k3WyzAJm0g-u-XDb1wOou/MAMAKANUMBA.jpg?width=650)
MAMA LULU, MAMA KANUMBA WAENDA KULA KIAPO
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...