LUNDENGA AOMBA VIDHIBITISHO VYA MISS TANZANIA 2014
Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa Mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (katikati) akionyesha cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014 kwa wanahabari (hawapo pichani) . Kushoto ni Miss Tanzania, Sitti Mtemvu. Hashim Lundenga akiongea jambo kwa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziLundenga alizungumzia sakata la umri wa Miss Tanzania 2014
Picha zaidi na kilichojili vitawajia muda si mrefu
11 years ago
Vijimambo
LUNDENGA AMTETEA MISS TANZANIA 2014 KUHUSU SAKATA LA UMRI WAKE

"Katika mashindano ya yetu,Washiriki wote hujaza fomu maalum...
11 years ago
Jamtz.Com
HAYA NDO ALIYOSEMA LUNDENGA KUMALIZA UTATA WA UMRI WA MISS TANZANIA 2014 KWENYE PRESS CONFERENCE

Hayo ni maelezo aliyoyatoa Mr. Hasheem Lundenga mbele ya Waandishi wa habari Dar es...
11 years ago
Michuzi08 Oct
10 years ago
Bongo520 Nov
Lundenga ajibu swali la kama Sitti Mtemvu atanyang’anywa zawadi alizopewa aliposhinda taji la Miss Tanzania 2014
11 years ago
Mwananchi22 Oct
Lundenga na Miss Tanzania wajikoroga
10 years ago
Raia Tanzania28 Aug
Lundenga aitema Miss Tanzania
BAADA ya kutoka kifungoni , Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashimu Lundenga ameachia ngazi kwenye Kamati ya Miss Tanzania na kuundwa kamati mpya inayoongozwa na Juma Pinto.
Awali Lundenga alikuwa mwenyekiti wa Kamati hiyo.
Mwishoni mwa mwaka jana shindano hilo lilifungiwa na serikali kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), baada ya waandaaji kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni za mashindano hayo, baada ya mrembo aliyekuwa akishikilia taji hilo, Sitti Mtevu...
10 years ago
Habarileo28 Aug
Lundenga ajiweka kando Miss Tanzania
KAMPUNI ya Lino International Agency Limited ambao ni waandaaji wa shindano la kusaka mlimbwende wa Tanzania maarufu Miss Tanzania imeteua kamati mpya itakayoandaa, kuratibu na kusimamia mashindano hayo.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
LUNDENGA: Miss Tanzania inakuja kivingine