Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Lundenga mpe zawadi zake Miss TZ’

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Baraza la Sanaa la Taifa, imeiamuru Kamati ya Miss Tanzania, kurudisha zawadi kiasi cha Sh18 milioni alizoshinda Sitti Mtemvu kwa mshindi wa pili, ambaye ni Miss Tanzania 2014, Lilian Kamazima.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Lundenga ajibu swali la kama Sitti Mtemvu atanyang’anywa zawadi alizopewa aliposhinda taji la Miss Tanzania 2014

Mkurugenzi wa LINO International Agency ambao ni waandaaji wa mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga amesema miongoni mwa maswali aliyokutana nayo kwa wingi jana kwenye ‘Kikaangoni’ ya EATV, ni pamoja na swala la Sitti Mtemvu kama atanyang’anywa zawadi alizopewa ili akabidhiwe aliyevishwa taji hilo baada ya yeye kujivua. “Kwanza hii ni mara ya kwanza kwa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Lundenga na Miss Tanzania wajikoroga

Utata umezidi kutanda kuhusu Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ambaye amejikoroga katika juhudi zake za kujitetea kwenye kashfa inayohusu umri wake.

 

10 years ago

GPL

LUNDENGA, MISS TANGA WAZICHAPA

Na Deogratius Mongela KW/RB/8441/2014 imemshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga kwa madai ya kuzichapa na Miss Tanga 1997, Mona Faraja ambaye pia ni mke wake na kumsababishia majeraha, Risasi Jumamosi lina ‘full’ stori. Miss Tanga 1997, Mona Faraja anayedaiwa kujeruhiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga. Ishu hiyo iliyonyakwa laivu na majirani ilijiri usiku wa...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Lundenga aitema Miss Tanzania

BAADA ya kutoka kifungoni , Mkurugenzi wa Lino International  Agency,  Hashimu Lundenga ameachia ngazi kwenye  Kamati ya Miss Tanzania na kuundwa kamati mpya inayoongozwa na Juma Pinto.

Awali Lundenga alikuwa mwenyekiti wa Kamati hiyo.

Mwishoni mwa mwaka  jana shindano hilo lilifungiwa na serikali kupitia  Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), baada ya waandaaji  kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni za mashindano hayo, baada ya  mrembo aliyekuwa akishikilia taji  hilo, Sitti Mtevu...

 

10 years ago

Habarileo

9 years ago

Mwananchi

LUNDENGA: Miss Tanzania inakuja kivingine

Miezi saba waliyokaa kifungoni, Kamati ya Miss Tanzania haikuwa imelala; imetengeneza mfumo mpya wa mashindano ya Miss Tanzania yanayofanyika kila mwaka.

 

9 years ago

Habarileo

Lundenga ajiweka kando Miss Tanzania

KAMPUNI ya Lino International Agency Limited ambao ni waandaaji wa shindano la kusaka mlimbwende wa Tanzania maarufu Miss Tanzania imeteua kamati mpya itakayoandaa, kuratibu na kusimamia mashindano hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Lundenga mahakamani, Miss Tanzania njia panda

MWANZILISHI wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, Prashant Patel, amefungua maombi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akiomba mshirika wake, Hashim Ludenga, azuiliwe kuendelea kuendesha mashindano hayo yanayotarajiwa kufikia kilele chake Oktoba 11, mwaka huu.

 

10 years ago

Bongo5

Lundenga: Kuendesha Miss Tanzania si jambo la mchezo!

Mkurugenzi wa LINO International Agency ambao ni Waandaaji wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga amesema kuendesha mashindano hayo si kazi ndogo. Akizungumza na Power Jams ya East Africa Radio leo, Lundenga alidai kuwa ndio maana mashindano mengine ya aina hiyo yameshindwa kudumu. Pia alitumia fursa hiyo kuwaomba radhi watanzania kwa kilichotokea hivi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani