‘Lundenga mpe zawadi zake Miss TZ’
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Baraza la Sanaa la Taifa, imeiamuru Kamati ya Miss Tanzania, kurudisha zawadi kiasi cha Sh18 milioni alizoshinda Sitti Mtemvu kwa mshindi wa pili, ambaye ni Miss Tanzania 2014, Lilian Kamazima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Nov
Lundenga ajibu swali la kama Sitti Mtemvu atanyang’anywa zawadi alizopewa aliposhinda taji la Miss Tanzania 2014
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Lundenga na Miss Tanzania wajikoroga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cveX*t2gsOX6wQNHDgTcd*UFc9t7CxJUQGPN68IwxvPZNfpPJBi*hErzzPe45kQf4-Qr5GkiLh0oIpTsNGqnzoG/lundenga.jpg)
LUNDENGA, MISS TANGA WAZICHAPA
9 years ago
Raia Tanzania28 Aug
Lundenga aitema Miss Tanzania
BAADA ya kutoka kifungoni , Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashimu Lundenga ameachia ngazi kwenye Kamati ya Miss Tanzania na kuundwa kamati mpya inayoongozwa na Juma Pinto.
Awali Lundenga alikuwa mwenyekiti wa Kamati hiyo.
Mwishoni mwa mwaka jana shindano hilo lilifungiwa na serikali kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), baada ya waandaaji kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni za mashindano hayo, baada ya mrembo aliyekuwa akishikilia taji hilo, Sitti Mtevu...
10 years ago
Habarileo07 Oct
9 years ago
Mwananchi22 Aug
LUNDENGA: Miss Tanzania inakuja kivingine
9 years ago
Habarileo28 Aug
Lundenga ajiweka kando Miss Tanzania
KAMPUNI ya Lino International Agency Limited ambao ni waandaaji wa shindano la kusaka mlimbwende wa Tanzania maarufu Miss Tanzania imeteua kamati mpya itakayoandaa, kuratibu na kusimamia mashindano hayo.
10 years ago
Habarileo06 Oct
Lundenga mahakamani, Miss Tanzania njia panda
MWANZILISHI wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, Prashant Patel, amefungua maombi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akiomba mshirika wake, Hashim Ludenga, azuiliwe kuendelea kuendesha mashindano hayo yanayotarajiwa kufikia kilele chake Oktoba 11, mwaka huu.
10 years ago
Bongo519 Nov
Lundenga: Kuendesha Miss Tanzania si jambo la mchezo!