MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI TAREHE 0 1- 05 JUNI, 2014, KUFANYIKA KITAIFA MKOANI MWANZA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fGP51eCG6_4/U4l5rxK4diI/AAAAAAAFmtU/9RCXjLJ7pbo/s72-c/Mkuu+wa+mkoa+wa+Mwanza+2.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Mwanza
Mhe. Ernest Ndikilo akiongea na wanahabari
Mkuu wa Mkoa wa Mwaza anapenda kuwafahamisha ya kwamba, siku ya madhimisho ya mazingira Duniani, hufanyika kuanzia tarehe 01 hadi 05 ya mwezi Juni, kwa kila Mwaka. Kwa mwaka 2014 shirika la Umoja wa mataifa linalo shughulikia mazingira limetangaza Kaulimbiu ya maadhimisho hayo kuwa ni “RAISE YOUR VOICE BUT NOT THE SEAL LEVEL” kwa tafsiri ni “CHUKUA HATUA KUKABILIANA NA TABIANCHI na kitaifa” TUNZA MAZINGIRA ILI...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 May
Siku ya Mazingira Kitaifa kufanyika Mkoani Tanga, Juni 5 mwaka huu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira), Dk. Binilith Mahenge (Pichani)
NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira), Dk. Binilith Mahenge amesema kuwa Serikali inaendelea kukabiliana na changamoto za uharibifu wa mazingira kwa kuhamasisha utekelezaji wa mipango ya kitaifa ya kuhifadhi mazingira pamoja na miongozo yake.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5PNENaKjnkI/VG9oe1FQJvI/AAAAAAAGyu8/J2sj5Yz-IZU/s72-c/tacaids%2B-%2B2.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KUFANYIKA KITAIFA MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-5PNENaKjnkI/VG9oe1FQJvI/AAAAAAAGyu8/J2sj5Yz-IZU/s1600/tacaids%2B-%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d941_g43zQk/VG9oehS20SI/AAAAAAAGyu4/Ux0guocc3dY/s1600/tacaids%2B-%2B1.jpg)
11 years ago
Michuzi09 May
9 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI MWAKA 2015 KUFANYIKA KITAIFA DESEMBA MOSI MKOANI SINGIDA
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk.Fatma Mrisho (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka 2015 yatakayofanyika kitaifa Desemba Mosi mkoani Singida. Kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Uraghibishi.
Na Dotto Mwaibale
MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi nchini yameongezeka kwenye kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 19 mpaka 24 tofauti na ilivyokuwa miaka minne...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70t5Gfmf2UtW*r6yHYOXBpNl7Ouoti56Gw-a-FRcIO1j*eywF8n-YLBUePNJoR7IfIYloSWMtjH6uPrkprExtgos/Pichayawazirimahengeakitoatamkokuhusuwikiyamzingira.jpg)
WAZIRI MAHENGE ATOA TAMKO LA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, TAREHE 5 JUNI 2015
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Maadhimisho siku ya Malaria duniani kitaifa kufanyika Mnazi mmoja jijini Dar Es Salaam
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani mwaka 2015 alipokutana na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yanalenga kuwakumbusha na kuwaelimisha wananchi juu ya athari za Malaria na mbinu za kukabiliana na ugonjwa huo.
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
Tanzania itaungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Malaria duniani Aprili 25 mwaka huu ili kutathmini...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o21JUDlXfBE/VTlSFVAgAzI/AAAAAAAHS0s/bPSpgIv0snw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MAADHIMISHO SIKU YA MALARIA DUNIANI KITAIFA KUFANYIKA MNAZI,MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani mwaka 2015, leo jijini Dar es salaam amesema maadhimisho ya mwaka huu yanalenga kuwakumbusha na kuwaelimisha wananchi juu ya athari za ugonjwa wa Malaria...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Siku ya Ukimwi Duniani Kitaifa kufanyika mkoani Njombe
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) , Dkt. Fatma Mrisho akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani yatakayofanyika kitaifa mkoani Njombe kuanzia Novemba 24, 2014 na kufikia kilele chake Desemba 1, 2014.
Na Beatrice Lyimo na Aron Msigwa- MAELEZO
Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani kwa mwaka 2014 kitaifa yanatarajiwa kufanyika mkoani Njombe kuanzia tarehe 24 mwezi huu hadi tarehe moja Desemba.
Hayo yamesemwa leo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gaZ5b0Nc6Zs/U6L831d_ZPI/AAAAAAAFrwc/h8m3flf1Wrk/s72-c/Untitled.png)
SIKU YA WAKIMBIZI DUNIANI KUADHIMISHWA TAREHE 20 JUNI, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-gaZ5b0Nc6Zs/U6L831d_ZPI/AAAAAAAFrwc/h8m3flf1Wrk/s1600/Untitled.png)
Kufuatana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Familia moja kusambaratika na vita ni wengi mno” au kwa Kiingereza “1 family torn apart by war is too many”.
Taarifa hiyo...