MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZOEZI KITAIFA KUFANYIKA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-1APi5y2w4lE/VKMALdKPtnI/AAAAAAAG6ns/D1ID_hFWegA/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
Katibu Mtendaji wa Chama cha Mchezo wa Mazoezi ZABESA Amer Mohd Makame akielezea madhumuni ya kufanyika kwa Tamasha la kwanza la siku ya mazoezi 01/01/2015 katika ukumbi wa Wizara ya habari Utamaduni Utalii na Michezo alipokutana na Waandishi wa Habari Zanzibar.
Mwenyekiti wa Chama cha Mchezo wa Mazoezi ZABESA Mohd Zidi akifafanua jambo katika mkutano na Waandishi wa Habari kuhusiana na Maadhimisho ya siku ya Mazoezi Kitaifa 01/01/2015 yatakayo fanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar,ambapo Mgeni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5PNENaKjnkI/VG9oe1FQJvI/AAAAAAAGyu8/J2sj5Yz-IZU/s72-c/tacaids%2B-%2B2.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KUFANYIKA KITAIFA MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-5PNENaKjnkI/VG9oe1FQJvI/AAAAAAAGyu8/J2sj5Yz-IZU/s1600/tacaids%2B-%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d941_g43zQk/VG9oehS20SI/AAAAAAAGyu4/Ux0guocc3dY/s1600/tacaids%2B-%2B1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fGP51eCG6_4/U4l5rxK4diI/AAAAAAAFmtU/9RCXjLJ7pbo/s72-c/Mkuu+wa+mkoa+wa+Mwanza+2.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI TAREHE 0 1- 05 JUNI, 2014, KUFANYIKA KITAIFA MKOANI MWANZA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fGP51eCG6_4/U4l5rxK4diI/AAAAAAAFmtU/9RCXjLJ7pbo/s1600/Mkuu+wa+mkoa+wa+Mwanza+2.jpg)
Mhe. Ernest Ndikilo akiongea na wanahabari Mkuu wa Mkoa wa Mwaza anapenda kuwafahamisha ya kwamba, siku ya madhimisho ya mazingira Duniani, hufanyika kuanzia tarehe 01 hadi 05 ya mwezi Juni, kwa kila Mwaka. Kwa mwaka 2014 shirika la Umoja wa mataifa linalo shughulikia mazingira limetangaza Kaulimbiu ya maadhimisho hayo kuwa ni “RAISE YOUR VOICE BUT NOT THE SEAL LEVEL” kwa tafsiri ni “CHUKUA HATUA KUKABILIANA NA TABIANCHI na kitaifa” TUNZA MAZINGIRA ILI...
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Maadhimisho siku ya Malaria duniani kitaifa kufanyika Mnazi mmoja jijini Dar Es Salaam
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani mwaka 2015 alipokutana na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yanalenga kuwakumbusha na kuwaelimisha wananchi juu ya athari za Malaria na mbinu za kukabiliana na ugonjwa huo.
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
Tanzania itaungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Malaria duniani Aprili 25 mwaka huu ili kutathmini...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o21JUDlXfBE/VTlSFVAgAzI/AAAAAAAHS0s/bPSpgIv0snw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MAADHIMISHO SIKU YA MALARIA DUNIANI KITAIFA KUFANYIKA MNAZI,MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani mwaka 2015, leo jijini Dar es salaam amesema maadhimisho ya mwaka huu yanalenga kuwakumbusha na kuwaelimisha wananchi juu ya athari za ugonjwa wa Malaria...
9 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI MWAKA 2015 KUFANYIKA KITAIFA DESEMBA MOSI MKOANI SINGIDA
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk.Fatma Mrisho (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka 2015 yatakayofanyika kitaifa Desemba Mosi mkoani Singida. Kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Uraghibishi.
Na Dotto Mwaibale
MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi nchini yameongezeka kwenye kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 19 mpaka 24 tofauti na ilivyokuwa miaka minne...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FwN3MADbnzQ/VKVW43bRRnI/AAAAAAAG61Q/0JiOZslwOpI/s72-c/IMG_8443.jpg)
DKT. SHEIN AONGOZA SIKU YA KILELE CHA MAZOEZI KITAIFA,ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FwN3MADbnzQ/VKVW43bRRnI/AAAAAAAG61Q/0JiOZslwOpI/s1600/IMG_8443.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q3AIVXGhKHE/VKVW5FLPdvI/AAAAAAAG61Y/ZSKZu_Mr8Ws/s1600/IMG_8468.jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR ISSA USI GAVU AFUNGUA MKUTANO WA MAADHIMISHO YA SIKU YA BAHARI DUNIANI UNAOFANYIKA KITAIFA MKOANI MTWARA LEO MCHANA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EP0fQYHPiQk/VoZBiDqG6iI/AAAAAAAIPsA/U1EgyFSxk-I/s72-c/DSC_7820.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR AONGOZA BONANZA LA MAZOEZI YA VIUNGO KITAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EP0fQYHPiQk/VoZBiDqG6iI/AAAAAAAIPsA/U1EgyFSxk-I/s640/DSC_7820.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pNJEwTwE-SE/VoZBiXNs8CI/AAAAAAAIPsE/CEB8xBkgxR8/s640/DSC_7884.jpg)