RAIS WA ZANZIBAR AONGOZA BONANZA LA MAZOEZI YA VIUNGO KITAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EP0fQYHPiQk/VoZBiDqG6iI/AAAAAAAIPsA/U1EgyFSxk-I/s72-c/DSC_7820.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiongoza Matembezi ya wanamichezo katika Bonanza la mazoezi ya viungo kitaifa yaliyofanyika leo kwa kuwanzia Uwanja wa Tumbaku Mjini Unguja na kumalizia Uwanja wa Amaan Studium.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono wanamichezo wa Vikundi mbali mbali kama ishara ya kuyapokea maandamano ya vikundi hivyo katika kilele cha Bonanza la mazoezi ya viungo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FwN3MADbnzQ/VKVW43bRRnI/AAAAAAAG61Q/0JiOZslwOpI/s72-c/IMG_8443.jpg)
DKT. SHEIN AONGOZA SIKU YA KILELE CHA MAZOEZI KITAIFA,ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FwN3MADbnzQ/VKVW43bRRnI/AAAAAAAG61Q/0JiOZslwOpI/s1600/IMG_8443.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q3AIVXGhKHE/VKVW5FLPdvI/AAAAAAAG61Y/ZSKZu_Mr8Ws/s1600/IMG_8468.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1APi5y2w4lE/VKMALdKPtnI/AAAAAAAG6ns/D1ID_hFWegA/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZOEZI KITAIFA KUFANYIKA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-1APi5y2w4lE/VKMALdKPtnI/AAAAAAAG6ns/D1ID_hFWegA/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0jB65pUSdU/VKMALnmvx7I/AAAAAAAG6nw/6wiXbAsCCOs/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1422AAA-768x413.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s640/DSC1422AAA-768x413.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC1428AAAA-1024x609.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Hospitali za Apollo kuhimiza wagonjwa wa Haemophilia kufanya mazoezi ya viungo
Kujikata, kugongwa na kuchubuka ni ajali za kawaida kwa watu wengi sababu ya shughuli za kila siku, nyumbani na sehemu nyingine ajali hizi hazikwepeki na mara nyingi hazitiliwi mkazo kiafya. Hata hivyo kwa watu wenye haemophilia ajali kama hizo ndio sababu kubwa ya kutufanya kuchukua tahadhari zaidi. Ugonjwa huu kwa kiasi kikubwa ni wa kimaumbile na unadhoofisha uwezo wa mwili kujikarabati wenyewe wakati unapoumia kwa kujikata au michubuko. Taasisi mbalimbali zimekuwa zikijaribu kuongeza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4SRya6uxG_c/UvZzw-Z4JWI/AAAAAAAFL0w/Fadvrn-bOv8/s72-c/unnamed+(4).jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA KIWANDA CHA VIUNGO vya chakula cha EVEREST SPICE Industries Ltd,India
![](http://1.bp.blogspot.com/-4SRya6uxG_c/UvZzw-Z4JWI/AAAAAAAFL0w/Fadvrn-bOv8/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jyXShgzE2Fg/UvZzw2Ag4RI/AAAAAAAFL0s/RQg09UHJT00/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ODsnFAum3nA/UvZzyUr755I/AAAAAAAFL04/y1IKs9Ra_-Y/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4SOYj5F_c1Q/VTEkFvBgx8I/AAAAAAAHRss/ytnSrREtRcc/s72-c/IMG_1654.jpg)
Rais wa Zanzibar aongoza waombolezaji katika mazishi ya Dkt. Omar Makame Shauri
![](http://3.bp.blogspot.com/-4SOYj5F_c1Q/VTEkFvBgx8I/AAAAAAAHRss/ytnSrREtRcc/s1600/IMG_1654.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ApZZBt6QWiU/VTEkFRsqCXI/AAAAAAAHRsc/YCaYLxKbxtM/s1600/IMG_1687.jpg)
9 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AONGOZA MATEMBEZI YA MAZOEZI PEMBA