MAALIM SEIF AONGOZA MATEMBEZI YA MAZOEZI PEMBA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiongoza matembezi ya mazoezi yaliyoanzia Tungamaa hadi Viwanja vya Mnazi mmoja Wete.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiongoza matembezi ya mazoezi yaliyoanzia Tungamaa hadi Viwanja vya Mnazi mmoja Wete, huku akiwapungia mkono wananchi waliokuwa wamejipanga barabarani
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akishiriki matika kufanya mazoezi ya kunyoosha viungo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AGBPhObOW6E/VZl8iJgKm_I/AAAAAAAHnKU/_6QAAnN4y20/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad aongoza maziko ya sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGBPhObOW6E/VZl8iJgKm_I/AAAAAAAHnKU/_6QAAnN4y20/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GMTsDcjv9O0/VZl8iHDe1wI/AAAAAAAHnKo/GCBSLsE_83c/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RTKv-EF7ub4/VZl8iBGBaNI/AAAAAAAHnKQ/de8TGVAJ_NU/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
11 years ago
MichuziMAALIM SEIF ZIARANI PEMBA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameelezea haja ya kuwashajiisha wakulima kulima kwa wingi mazao yanayopendwa zaidi na wananchi, ili kupunguza mfumko wa bei hasa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Akitembelea masoko ya Chake Chake na Wete Kisiwani Pemba kuangalia bei za bidhaa mbali mbali zikiwemo za matunda, Maalim Seif amesema licha na kuwepo bidhaa nyingi lakini bei zake bado ziko juu ikilinganishwa na kipato cha wananchi.
Amesema...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bJHP41Z-Cfk/U8ucafcYP-I/AAAAAAAF3-g/Ytigh_D0HxY/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAALIM SEIF AENDELEA NA ZIARA YAKE KISIWANI PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bJHP41Z-Cfk/U8ucafcYP-I/AAAAAAAF3-g/Ytigh_D0HxY/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HBDW2BoXQtg/U8ucacksJtI/AAAAAAAF3-s/d95f9kT9t1Q/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_2Vg8XS7lYU/U8ucaf_O-eI/AAAAAAAF3-k/BfqXC3X3cz4/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AKIZINDUA MRADI WA MAJI SAFI,PEMBA
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AFUNGUA MSIKITI MPYA KINYASINI PEMBA
9 years ago
MichuziMaalim SEIF SHARIF HAMAD akutana na Wagombea wa CUF - Pemba
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iHCoeaZJprM/VZ165IfJgyI/AAAAAAAHn2s/wqmmeZ_eWZo/s72-c/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
MAALIM SEIF AITEMBELEA FAMILIA YA WATOTO SITA WENYE ULEMAVU, PEMBA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, leo ameitembelea na kuifariji familia ya Bw. Saleh Juma Saleh yenye watoto sita wenye ulemavu.
Akizungumza na familia hiyo nyumbani kwao Kinyasini Mkarafuuni Wilaya ya Wete Pemba, katika mfululizo wa ziara yake ya kutembelea wagonjwa katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, Maalim Seif ameitaka kuwa na subra na upendo kwa watoto hao wakielewa kuwa huo ni mtihani kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Amemuagiza Mkuu Mkuu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MRuvCX_795w/U8rtuRjwPaI/AAAAAAAF3zw/qHiGf4up6Rc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad atembelea na kuwafariji wagonjwa na wafiwa Pemba