MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE KISIWANI PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FmA6f0RxMiU/VPw7KsPMkRI/AAAAAAABneY/6Pd8NEfKjRU/s72-c/2216.jpg)
MRATIBU wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba Fatma Khamis Hemed, akifungua kongamano la maadhimisho ya siku ya wanawake dunia, ambapo kituo hicho kilikutana na wadau kujadili changamoto na mafanikio ya wanawake, yaliofanyika kwenye kituo hicho mjini Chake Chake,
MWANDISHI wa habari kutoka Idara ya Habari Maelezo Pemba Mohamed Khalfan Ali, akichangia jambo kwenye kongamano la maadhimisho ya siku ya wanawake dunia, yaliondaliwa na kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ctji6OGamAY/VMP0r03ZDyI/AAAAAAACyaw/_tn7PfJOKX0/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU KUMI KISIWANI UNGUJA,KESHO KUWASILI KISIWANI PEMBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ctji6OGamAY/VMP0r03ZDyI/AAAAAAACyaw/_tn7PfJOKX0/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GjL_wqY7lAA/VMP0l6gdbhI/AAAAAAACyao/FIXQQLLlgt0/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-75ydcxwb_AI/VMP00NUjv_I/AAAAAAACya4/wVVMpGASCI4/s1600/7.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZLWkp7iqi0w/VewRCwA1npI/AAAAAAABG7M/yd4CjTn99kw/s72-c/Aaa.jpg)
MAALIM SEIF SHARIF HAMAD AZINDUA KAMATI ZA USHINDI ZA WANAWAKE KISIWANI PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZLWkp7iqi0w/VewRCwA1npI/AAAAAAABG7M/yd4CjTn99kw/s640/Aaa.jpg)
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wajumbe wa Kamati za Ushindi za Wanawake wa CUF kutoka Wilaya nne za Pemba huko skuli ya Fidel Castro.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ze4jKryF0-s/VewRDBXr3qI/AAAAAAABG7U/74GAvt47nIU/s640/Aa1.jpg)
Wajumbe wa Kamatui za Ushindi za Wanawake kisiwani Pemba wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama hicho, Mhe. Maalim Seif Sharif Hanmad mara baada ya kuzindua kamati hizo huko skuli ya Fidel Castro mkoa wa Kuisni Pemba.
Na. OMKR Zanzibar
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad leo amezindua Kamati za Ushindi za...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7DfOVTsk4Nw/VMpyytJz0fI/AAAAAAACy_Y/O5aCpmTlJaQ/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KOMREDI KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU 15 KISIWANI UNGUJA NA PEMBA LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7DfOVTsk4Nw/VMpyytJz0fI/AAAAAAACy_Y/O5aCpmTlJaQ/s1600/7.jpg)
Kinana amemaliza ziara ya siku 15 katika visiwa vya Unguja na Pemba Zanzibar ambapo amekagua na kushiriki ujenzi katika miradi 40 mikoa...
10 years ago
MichuziWanawake Wizara ya Mambo ya Nje washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
11 years ago
MichuziWanawake Mambo ya Nje washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
10 years ago
Michuzi11 Mar
TTCL ilivyoshiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
![TTCL na Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/WD2.jpg)
![Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya akina mama baada ya kutembelea banda la TTCL kwenye maadhimisho hayo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/WD4.jpg)
![Picha ya pamoja ya baadhi ya akina mama na viongozi wa mkoa waliohudhuria katika siku yao muhimu.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/WD7.jpg)
BOFYA HAPA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo05 Mar
TGNP Mtandao na Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0386.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakiingia kwa maandamano mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0329.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0407.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-o72Bg_CFnTk/VOWjkisuOmI/AAAAAAAHEfQ/K_YoNGGRK70/s72-c/images%2B(1).jpeg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KUFANYIKA MACHI 8, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-o72Bg_CFnTk/VOWjkisuOmI/AAAAAAAHEfQ/K_YoNGGRK70/s1600/images%2B(1).jpeg)
Maadhimisho haya hutoa fursa kwa Taifa, mikoa, wilaya na wadau wengine kupima mafanikio yaliyopatikana katika kuwendeleza wanawake na...