Maafisa Mawasiliano watoa msaada katika hospital ya Ligula-Mtwara
Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO Assah Mwambene (kulia) akikabidhi kwa niaba ya Maafisia Mawasiliano Serikalini msaada wa Kitanda cha wagonjwa kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula Mkoani Mtwara Dkt. Mohamed Abraham Gwao walipotembelea Hospitalini hapo jana.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RXIPf3CuUlM/VMeq94U37UI/AAAAAAAG_zs/2v9uSDXLEoE/s72-c/1.jpg)
Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa Kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant na kutoa msaada katika hospital ya Ligula
![](http://4.bp.blogspot.com/-RXIPf3CuUlM/VMeq94U37UI/AAAAAAAG_zs/2v9uSDXLEoE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1MuqSacGmc/VMeq97JZ8hI/AAAAAAAG_zw/Y3OqAU93lgE/s1600/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Kampuni ya Tigo yatoa msaada Hospitali ya rufaa ya Ligula mkoani Mtwara
Meneja wa kampuni ya Tigo kanda ya Kusini, Lilian Mwalongo (kulia) akizungumza na waandishi na uongozi wa hospitali ya Rufaa ya Ligula mkoani Mtwara wakati wa kukabidhi msaada wa vyandarua 1,000 vyenye thamani ya milioni 15,Akiyekaa(katikati) ni Kaimu mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda na (kushoto) Mganga mkuu wa mkoa , Dk.Shaibu Maarifa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2ld7zV6F38k/VMqsB2sN0wI/AAAAAAAHASs/zTNLf3RwUNY/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
McDowall amaliza mafunzo ya Siku mbili na Maafisa Mawasiliano mjini Mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-2ld7zV6F38k/VMqsB2sN0wI/AAAAAAAHASs/zTNLf3RwUNY/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pkU-L5FS5bU/VMqsCJZ7X0I/AAAAAAAHASw/T-8el1NVH5M/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uw5q8n-Mauc/VMqsCr4FoBI/AAAAAAAHAS4/vfAKtaaHBB0/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara afunga kikao kazi cha Maafisa Mawasiliano
Wawasilishaji kutoka kampuni ya PUSH OBSERVER wakiwaeleza maafisa mawasiliano huduma wanazotoa ikiwamo ufuatiliaji wa taarifa mbalimbali kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii pia utoaji wa taarifa wa jumbe kupitia mitandao ya simu(Bulk messages).
Mwenyekiti wa Muda wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) Bw. Innocent Mungy akitoaa taarifa futi ya utekelezaji wa kazi wa chama hicho kwa Maafisa Mawasiliano wakati wa ufungaji wa kikao kazi cha Maafisa ha oleo Mkoani...
5 years ago
CCM BlogKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
MichuziKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
10 years ago
MichuziWAKINA MAMA WA KIKUNDI CHA ZITEZEN FOUNDATIO WATOA MSAADA WA MAGODORO KATIKA HOSPITALI YA TEMEKE
Akizungumza wakati akikabidhi msaada huo, Mwenyekiti wa kikundi hicho, Lilian Wasira alisema wameguswa sana na tatizo la akina mama kujifungulia sakafuni ndiyo maana wakaona watoe msaada huo.
Lilian alisema, wameamua kufanya hivyo badala ya kusherehea siku hiyo kwenye kumbi za burudani huku wenzao...
10 years ago
VijimamboAKINA MAMA WA KIKUNDI CHA ZITEZEN FOUNDATIO WATOA MSAADA WA MAGODORO KATIKA HOSPITALI YA TEMEKE