Maalim Seif akutana na Rais wa Global Peace Foundation

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Rais wa taasisi ya Kimataifa ya Global Peace Foundation , James Flynn, alipofika ofisini kwake Migombani kwa mazungumzo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akipokea jarida la Grobal Peace Foundation kutoka kwa Rais wa taasisi hiyo James Flynn, ofisini kwake Migombani.
Na Khamis Haji OMKR
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema Zanzibar inaunga...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
Maalim Seif akutana na rais wa taasisi ya Kimataifa ya Global Peace Foundation, atembelea ofisi za CUF zilizochomwa moto Dimani
11 years ago
Michuzi.jpg)
maalim seif akutana na bw. ludovick Utouh, wanahabari wa Global publishers leo dar es salaam
.jpg)
.jpg)
.jpg)
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo




9 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SHARIFF SEIF HAMAD


10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SEIF IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete akutana na Maalim Seif Ikulu jijini Dar es Salaam



9 years ago
StarTV22 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif kujadili hali ya siasa Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli amekutana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharrif Hamad Ikulu Jijini Dar es Salaam kujadili hali ya siasa inavyoendelea visiwani Zanzibar
Mazungumzo ya Viongozi hao yamehudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Viongozi hawa kwa pamoja wamejadili hali ya kisiasa Zanzibar na wamefurahishwa na hali ya...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA TAMWA
9 years ago
Michuzi