Maalim Seif awafariji majeruhi wa shambulizi
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad ametembelea baadhi ya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) waliojeruhiwa baada ya kuvamiwa na watu wasiofahamika.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
Balozi Seif awafariji majeruhi wa ajali ya gari
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Said Ali Juma mkazi wa Sogea, Unguja aliyelazwa chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Mnazimmoja, aliyepata ajali ya gari wakati akirejea kwenye mkutano […]
The post Balozi Seif awafariji majeruhi wa ajali ya gari appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BZzw0B3S3Vw/ViYGfofLaeI/AAAAAAAIBFM/e9uwv28Ux7A/s72-c/116.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR AWAFARIJI BAADHI YA MAJERUHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BZzw0B3S3Vw/ViYGfofLaeI/AAAAAAAIBFM/e9uwv28Ux7A/s640/116.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wYFzwMsqiUM/ViYGhWnRBTI/AAAAAAAIBFc/UAd1PrD86R8/s640/139.jpg)
MAJERUHI 10 wanaendelea kupatiwa huduma za matibabu katika...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s72-c/346.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWATEMBELEA NA KUWAPA POLE MAJERUHI TISA WALIOLAZWA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s640/346.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nmnQAqLlb0Q/VhUfV6JehaI/AAAAAAABJhA/6rYP1PBzMGQ/s640/349.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Maalim Seif: Msihofu
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Maalim Seif amtega JK
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wanaweza kurudi bungeni iwapo Rais Jakaya Kikwete atawahakikishia kuwa...
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Maalim Seif: Sawasawa
Na Waandishi Wetu, Zanzibar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimezindua kampeni za Urais Zanzibar kwa kishindo huku mgombea wake, Maalimu Seif Sharif Hamad, akiahidi ajira kwa Wanzibari wote ndani ya miaka mitano na kubadilisha uchumi wa nchi hiyo kuwa imara kama ule wa Singapore.
Akizungumza na maelfu ya wananchi wa visiwa hivyo waliojitokeza jana kwenye uwanja wa Kibanda Maiti Unguja, Maalim Seif alisema endapo atapatiwa ridhaa ya kuongeza nchi, atapigania pia mamlaka kamili ya Zanzibar ikiwa ni...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
JK akutana na Maalim Seif
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Ni Shein na Maalim Seif