Maaskofu walia na amani ya nchi
Amani, amani, amani. Neno hili ndilo lililotawala mahubiri ya Pasaka katika makanisa mbalimbali nchini jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAASKOFU, WACHUNGAJI KUBARIKI TAMASHA LA AMANI
Na Mwandishi WetuMAASKOFU wa madhehebu mbalimbali na Wachungaji wanatarajiwa kushiriki kwenye Tamasha la Amani linalotarajiwa kufanyika Oktoba 4, mwaka huu Dar es Salaam.
Tamasha la Amani ambalo litahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za Injili ni maalum kwa ajili ya kuombea amani katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ikFPhhVwblo/VgpXCV3D6CI/AAAAAAAH7sw/AX2yBnSkZXk/s72-c/IMG_9396.jpg)
WACHUNGAJI 200, MAASKOFU 50 KUUNGANA NA JK TAMASHA LA KUOMBEA AMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ikFPhhVwblo/VgpXCV3D6CI/AAAAAAAH7sw/AX2yBnSkZXk/s640/IMG_9396.jpg)
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama ilieleza kuwa kati ya viongozi hao 200 ni Wachungaji na 50 ni Maaskofu.
“Idadi inaweza kuwa kubwa zaidi, lakini hadi sasa niseme hao ndiyo ambao tuna uhakika nao watashiriki katika Tamasha la...
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-OC_zMKxFLZI/UgPzBV67bhI/AAAAAAAACZg/3SugSuM0bmM/s1600/MKCT_AP16.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pFiylrrOYco/VKmLkZ3DyOI/AAAAAAAAEYM/Ih8nr9eo8GA/s72-c/MKCT_P2015.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Oct
TCRA yasisitiza amani ya nchi ilindwe
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevitaka vyombo vya utangazaji kuendelea kutangaza habari zenye kudumisha amani kuelekea Uchaguzi Mkuu.
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Waziri Majaliwa: Lindeni amani ya nchi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wananchi waendelee kulinda amani ya nchi huku akikemea uvaaji wa nguo fupi na kuwasihi Watanzania kujenga tabia ya kuvaa mavazi yenye kumpendeza Mungu.
11 years ago
Habarileo12 Feb
Sumaye: Uvunjifu wa amani ni hatari kwa nchi
JAMII imehadharishwa dhidi ya uvunjifu wa amani kuwa ni hatari kwa maendeleo ya uchumi wa nchi na watu kwa ujumla. Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye alisema hali ya utulivu ni chachu katika kukuza uchumi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania