Waziri Majaliwa: Lindeni amani ya nchi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wananchi waendelee kulinda amani ya nchi huku akikemea uvaaji wa nguo fupi na kuwasihi Watanzania kujenga tabia ya kuvaa mavazi yenye kumpendeza Mungu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Dec
‘Wananchi lindeni amani kipindi cha sikukuu’
Polisi mkoani hapa imewataka wananchi kufuata sheria za nchi ili kuimarisha usalama wao na mali katika kipindi cha Krismas na Mwaka Mpya.
10 years ago
Mwananchi18 Jun
‘TCRA lindeni maadili ya nchi’
Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuhakikisha kuwa chaneli zote za runinga zinatoa mafundisho yanayoendana na maadili kwa ustawi wa maendeleo ya Taifa.
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MN7TnIRAUHw/XnJNiK-W9lI/AAAAAAALkVg/p45N-5up4GYSQRYjFWO5OJ7aDLdjvMckgCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA: NCHI ZA SADC TUENDELEE KUPAZA SAUTI KUONDOLEWA VIKWAZO ZIMBABWE
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kutumia majukwaa ya kikanda, kitaifa na kimataifa kwa ajili ya kupaza sauti zao ili kusaidia kuondolewa kwa vikwazo kandamizi vya kiuchumi kwa Jamhuri ya Zimbabwe.
Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC leo Jumatano (Machi 18, 2020) Jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu Majaliwa alisema Tanzania kupitia nafasi yake ya Uenyekiti wa SADC imeendelea kupaza sauti kwa...
Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC leo Jumatano (Machi 18, 2020) Jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu Majaliwa alisema Tanzania kupitia nafasi yake ya Uenyekiti wa SADC imeendelea kupaza sauti kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s72-c/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Waziri Mkuu Mteule Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa kuapishwa kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s640/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Sherehe za kumuapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa (pichani), Waziri Mkuu Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitafanyika katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2015 kuanzia saa 4.00 Asubuhi. Sherehe hizo zinafanyika siku moja baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha jina lake kwa kura nyingi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uteuzi uliofanywa na Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f9cgpl6i_es/VlDAy_mPpyI/AAAAAAAIHso/NTYySkP7Hso/s72-c/b48c276f-7030-4d1e-af63-e2bdd41e0862.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA KWENYE MCHAPALO WA KUZINDUA BUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9cgpl6i_es/VlDAy_mPpyI/AAAAAAAIHso/NTYySkP7Hso/s640/b48c276f-7030-4d1e-af63-e2bdd41e0862.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C-lADXy_RZI/VlDAx5UUIYI/AAAAAAAIHsc/8TDjhMZUmJU/s640/b5425740-67e0-4ea3-9bb5-1ee65c28cb0c.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ImqiqFDtHe4/default.jpg)
9 years ago
Michuzi21 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA, KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA RUANGWA
![rua1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua1.jpg)
![rua2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua2.jpg)
![rua3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-91OlTIPqjuc/Vk3UYxwpXMI/AAAAAAAIG2Q/syFrnKI7eY0/s72-c/e016df6a-9405-4fcb-8a4c-a6cc56bfa773.jpg)
JINA LA WAZIRI MKUU MTEULE MHE. MAJALIWA KASSIM MAJALIWA LILIPOWASILISHWA BUNGENI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-91OlTIPqjuc/Vk3UYxwpXMI/AAAAAAAIG2Q/syFrnKI7eY0/s640/e016df6a-9405-4fcb-8a4c-a6cc56bfa773.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SPwNhHsLDZc/Vk3UZe8j8uI/AAAAAAAIG2U/dKvkFwo7AbM/s640/341f65c7-1c03-42f7-b6f5-e556a02db311.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVsuTU_qSNo/Vk3UaZa4eYI/AAAAAAAIG2c/kbZMCLNE8kk/s640/70708e25-c1c4-43bb-ad49-a1215b5facba.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania