MABAKI YA NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAZIDI KUPATIKANA
![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTtKtPIpv-9OAufpxIsU1ACkwdEAdF5an295h*OzCyKyU-QzQ1rkE2PTZQITKbm37TqJV0e*tKCgLxAm2*H-Pn3b/ajaliyaAirAsia1.jpg?width=650)
Picha zikionyesha mabaki ya ndege ya AirAsia QZ8501 iliyozama baharini.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX7j0jaNRSi9KdpRhvtC1cNVcs6bC-OT*zNut8VgiqnZuByHRIsBLkLwBGyWgFq7Qld7rzpcyeTTU6TrDc0nv5qd/ndege.jpg)
MKIA WA NDEGE YA AIRASIA QZ8501 WAPATIKANA
Mchoro wa mkia wa ndege ukionyesha kifaa cha kutunza kumbukumbu za ndege 'black box'. Picha ikionyesha mabaki ya ndege ya AirAsia kutoka baharini.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxXwPI8o1ZbDvknDj7zCyj1AUJcADIM2re0o6aj8rFU0sjIRJLMEKH-dkJVf2EZK6SkgRKVE63j-ebn57bjn7xwB/kikosi.jpg)
UPDATES: NDEGE YA AIRASIA QZ8501 ILIYOPOTEA NA WATU 162
Kikosi cha wanamaji nchini Indonesia kikisali kabla ya kuanza zoezi la kuitafuta Ndege ya AirAsia QZ8501 katika bandari ya Pangkal Pinang kwenye kisiwa cha Sumatra. Kikosi cha wanamaji kikiwa kazini kuitafuta ndege iliyopotea.…
10 years ago
CloudsFM29 Dec
NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAPOTEA IKIWA NA WATU 162
Ndege ya AirAsia, QZ8501iliyopoteza mawasiliano ikiwa na watu 162 ikitokea Indonesia kwenda Singapore.
![](http://api.ning.com/files/Zv0e1bgizgKyLyHMEnAw5sxpvmvrb-51O8Pc05ryy4G9nCSUQAp1GxNZc0trdWjg9w1QlPbz5IgG8wmq*QiDpxKvVItXGBWs/familia3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/Zv0e1bgizgLhaaGCixn1wILP54PlfjmyLRuXadsTMdC7t0yKb65*bMeug-BMGCLskGR6ucPEVK3v9lwJSWK-jQP3HVeu0QMq/familia4.jpg)
Kati ya watu hao 162, abiria walikuwa 155, marubani 2 na wafanyakazi wa ndege hiyo 5. Watu 157 ni raia wa Indonesia, 3 raia wa Korea Kusini, 1 kutoka Malaysia na 1 raia wa Singapore.
Imeelezwa kuwa kabla ya ndege hiyo kupoteza mawasiliano, rubani aliomba kubadili uelekeo wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxvfdPrb786JA3xGWyduuRhZLzuKRja3gOhnO-JXg*BAdkB0fSsd-7Pwp-RIjSxxadDYEnqGZ6c5TSSGVyO0-8PeM/AIRASIA.jpg)
MAJANGA MWISHONI MWA MWAKA 2014: NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAPOTEA IKIWA NA WATU 162
NDEGE ya AirAsia, QZ8501 iliyokuwa na watu 162 ikitokea Indonesia kwenda Singapore imepoteza mawasiliano leo asubuhi. Kati ya watu hao 162, abiria walikuwa 155, marubani 2 na wafanyakazi wa ndege hiyo 5. Watu 157 ni raia wa Indonesia, 3 raia wa Korea Kusini, 1 kutoka Malaysia na 1 raia wa Singapore. Imeelezwa kuwa kabla ya ndege hiyo kupoteza mawasiliano, rubani aliomba kubadili uelekeo wa kawaida kutokana na hali mbaya ya hewa....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci0das53vwu2hfUcT53e4LurFaCdVmyc5dFrbBEoLyFHifWk4bz5JDo7pou3e6RZaKUt9hcjYPIodA-ZaxGigkE8/miili.jpg)
AIRASIA QZ8501: MIILI YAANZA KUWASIL INDONESIA
Wanajeshi wakiwa wamebeba miili ya mwanzo ya watu waliokufa katika Ndege ya AirAsia. MIILI ya mwanzo ya watu wawili waliokuwa kwenye Ndege ya AirAsia QZ8501 imewasili leo jijini Surabaya, Indonesia ambapo ndugu na jamaa wanasubiri kwa utambuzi. Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200, ilipotea Jumapili iliyopita ikiwa imebeba watu 162 ikitokea Surabaya kwenda Singapore, ambapo baadhi ya miili imeanza kupatikana jana katika Bahari ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OFYoHsLBprU/VKMBvXwu9iI/AAAAAAAG6oA/ESTLnsRrGlo/s72-c/_79982871_025239812-1.jpg)
AirAsia QZ8501: Forty bodies found in missing plane search
![](http://3.bp.blogspot.com/-OFYoHsLBprU/VKMBvXwu9iI/AAAAAAAG6oA/ESTLnsRrGlo/s1600/_79982871_025239812-1.jpg)
The bodies were spotted along with debris floating in the Java Sea off the Indonesian part of Borneo, in one of the search zones for the plane.
There has been no official confirmation that the remains come from the plane.
The Airbus A320-200, carrying 162 people from Surabaya in Indonesia to Singapore, disappeared on Sunday.
The search operation is now in its third day,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci1pJkDoPV0n*zEyCIthDEpQDvN9yt2Il8T*gFVTy98FsClPoEkyjQwNUsFl87fmK0hskZiyyGQ5OEGzch2*n9Wy/1.jpg)
HALI MBAYA YA HEWA YAKWAMISHA ZOEZI LA UOKOAJI MIILI KUTOKA AIRASIA QZ8501
Baadhi ya mabaki ya Ndege ya AirAsia yakiwa Uwanja wa Ndege wa Pangkalan Bun, Indonesia leo. Mwili wa mmoja wa watu waliokuwa kwenye ndege ya AirAsia ukielea katika Bahari ya Java.…
10 years ago
Vijimambo30 Jul
MABAKI YA NDEGE YANAYOSEMEKANA NI YA NDEGE YA MALAYSIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/07/150307074359_mh370_512x288_non_nocredit.jpg)
Mamlaka ya usafirishaji nchini Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege ya yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi yanachunguzwa ili kubaini kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370 iliyopotea bila kuwa na taarifa zozote kwa muda mrefusasa.
Taarifa kutoka Marekani zinasema wachunguzihao ambao wameona picha za mabaki hayo wana uhakika mkubwa kwamba ni ya ndege hiyo ya Malaysia ambapo mabaki hayo ni sehemu ya bawa la ndege.
Hata hivyo,...
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Ndege ya AirAsia yapotea na abiria 160
Shirika la ndege la AirAsia linasema kuwa limeanzisha shughuli ya kuitafuta ndege yake iliyopoteza mawasiliano
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania