AIRASIA QZ8501: MIILI YAANZA KUWASIL INDONESIA

Wanajeshi wakiwa wamebeba miili ya mwanzo ya watu waliokufa katika Ndege ya AirAsia. MIILI ya mwanzo ya watu wawili waliokuwa kwenye Ndege ya AirAsia QZ8501 imewasili leo jijini Surabaya, Indonesia ambapo ndugu na jamaa wanasubiri kwa utambuzi. Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200, ilipotea Jumapili iliyopita ikiwa imebeba watu 162 ikitokea Surabaya kwenda Singapore, ambapo baadhi ya miili imeanza kupatikana jana katika Bahari ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
HALI MBAYA YA HEWA YAKWAMISHA ZOEZI LA UOKOAJI MIILI KUTOKA AIRASIA QZ8501
10 years ago
GPL
MKIA WA NDEGE YA AIRASIA QZ8501 WAPATIKANA
10 years ago
GPL
MABAKI YA NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAZIDI KUPATIKANA
10 years ago
CloudsFM29 Dec
NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAPOTEA IKIWA NA WATU 162
Ndege ya AirAsia, QZ8501iliyopoteza mawasiliano ikiwa na watu 162 ikitokea Indonesia kwenda Singapore.


Kati ya watu hao 162, abiria walikuwa 155, marubani 2 na wafanyakazi wa ndege hiyo 5. Watu 157 ni raia wa Indonesia, 3 raia wa Korea Kusini, 1 kutoka Malaysia na 1 raia wa Singapore.
Imeelezwa kuwa kabla ya ndege hiyo kupoteza mawasiliano, rubani aliomba kubadili uelekeo wa...
10 years ago
GPL
UPDATES: NDEGE YA AIRASIA QZ8501 ILIYOPOTEA NA WATU 162
10 years ago
Michuzi
AirAsia QZ8501: Forty bodies found in missing plane search

The bodies were spotted along with debris floating in the Java Sea off the Indonesian part of Borneo, in one of the search zones for the plane.
There has been no official confirmation that the remains come from the plane.
The Airbus A320-200, carrying 162 people from Surabaya in Indonesia to Singapore, disappeared on Sunday.
The search operation is now in its third day,...
10 years ago
GPL
MAJANGA MWISHONI MWA MWAKA 2014: NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAPOTEA IKIWA NA WATU 162
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Indonesia yasitisha utafutaji wa Airasia
10 years ago
StarTV30 Dec
Ajali ya AirAsia, Miili 40 yaopolewa baharini.
Kufuatia kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la Asia ndege namba QZ8501At ,miili arobaini imeopolewa kutoka baharini katika utafutaji wa mabaki ya ndege hiyo na utafutaji unaendelea.
Miili hiyo ilionekana ikielelea karibu na taka za bahari pwani ya Indonesia,eneo la Borneo moja ya eneo la utafutaji mabaki ya ndege hiyo.Na taarifa kutoka serikali ya Indonesia zimethibitisha kwamba miili hiyo inatoka katika ndege iliyopotea.
Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200,ilikuwa imebeba abiria mia moja...