Mabasi 3 yaua 12 Tanga, Moro
JINAMIZI la ajali limeendelea kugharimu maisha ya Watanzania, baada ya jana watu 12 kufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha magari manne katika mikoa ya Tanga na Morogoro.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Aug
Mabasi yagongana, yaua watu 13
MABASI mawili yamegongana uso kwa uso wilayani Sikonge mkoani Tabora na kuua abiria 13, wakiwemo madereva wa mabasi hayo na kujeruhi wengine 73. Moja ya mabasi hayo, lilikuwa likitokea mkoani Mwanza kwenda Mpanda na lingine likitokea mkoani Mbeya kwenda Mwanza.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mmoja Moro
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Mabasi yagongana, yaua zaidi ya watu 16
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Ajali ya mabasi yaua 12 Handeni, Mikumi
10 years ago
Habarileo12 Oct
Mabasi yaua watu wanne Mpanda
WATU wanne wamekufa na wengine 14 wamejeruhiwa na kulazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpanda baada ya basi la Kampuni ya AN kugongana uso kwa uso na gari lingine.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK782kufwrWPoc929XkxSjsvwRNnSOgkO2nGBRan*GhX7O*BpzkRzjO6JtEXNyTbQp7h2GKRVY4aqq1EPipdJ2Iv/BREAKINGNEWS.gif)
AJALI YAUA 11 TANGA
10 years ago
VijimamboAJALI YAUA 12 TANGA
Baadhi ya watu wakishuhudia ajali ya basi aina ya Costal lenye namba za usajili T410 BJD lililokuwa likifanya safari zake kati ya Tanga na Lushoto likiwa limepinduka baada ya kugongana na Scania lenye namba namba T645 ABJ katika kijiji cha Mkanyageni wilayani Muheza. (picha: Elizabeth Kilindi via Habari Mseto blog)
WATU 12 wamekufa papo hapo na wengine 19 wamejeruhiwa vibaya katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria aina ya Toyota Costa inayosafiri kati ya Tanga na Lushoto...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu Dar- Moro
10 years ago
Daily News09 Apr
12 killed, 83 injured in Tanga, Moro accidents
Daily News
TWELVE people died and 83 others were injured in two different road accidents involving buses in Tanga and Morogoro regions. In Handeni District, 10 people died and 35 were reportedly injured after two buses and a private car were involved in an accident ...
12 killed, over 70 injured in Tanzania road accidentsGlobalPost (blog)
all 4