Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabasi 3 yaua 12 Tanga, Moro

Basi la Ngorika lenye namba za usajili T770BKW (kulia) likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana uso kwa uso na basi la Ratco T274DCP lililolala na kufunga barabara eneo la Mkata mkoani Tanga jana na kusababisha vifo vya watu 10. (Na Mpigapicha Wetu).JINAMIZI la ajali limeendelea kugharimu maisha ya Watanzania, baada ya jana watu 12 kufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha magari manne katika mikoa ya Tanga na Morogoro.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mabasi yagongana, yaua watu 13

MABASI mawili yamegongana uso kwa uso wilayani Sikonge mkoani Tabora na kuua abiria 13, wakiwemo madereva wa mabasi hayo na kujeruhi wengine 73. Moja ya mabasi hayo, lilikuwa likitokea mkoani Mwanza kwenda Mpanda na lingine likitokea mkoani Mbeya kwenda Mwanza.

 

9 years ago

Mwananchi

Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mmoja Moro

Mkulima mmoja ameuawa kwa kupigwa fimbo kichwani na watu wanaodaiwa kuwa ni wafugaji wa jamii ya Kimasai kwenye ugomvi uliotokea baada ya wafugaji hao kulisha ng’ombe wao kwenye shamba la mkulima huyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mabasi yagongana, yaua zaidi ya watu 16

Zaidi ya watu 16 wamefariki dunia baada ya mabasi mawili kugongana uso kwa uso jana saa 9:30 alasiri umbali wa kilomita tatu kutoka Sikonge.

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya mabasi yaua 12 Handeni, Mikumi

>Watu 12 wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea Handeni, Tanga na Mikumi, Morogoro zikihusisha mabasi ya abiria.

 

10 years ago

Habarileo

Mabasi yaua watu wanne Mpanda

WATU wanne wamekufa na wengine 14 wamejeruhiwa na kulazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpanda baada ya basi la Kampuni ya AN kugongana uso kwa uso na gari lingine.

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA 11 TANGA

WATU 11 wanadaiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa katika ajali mbaya eneo la Mkanyageni mkoani Tanga baada ya gari aina ya Toyota Coaster yenye namba za usajili T 410 BJD kugongana na Scania namba T 605 ABJ asubuhi hii. Katika ajali hiyo, Coaster lilikuwa likitoka mkoani Tanga kwenda Lushoto na madereva wa magari yote mawili hawajulikani walipo baada ya ajali. Miili ya marehemu katika ajali hiyo imehifadhiwa katika...

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI YAUA 12 TANGA



Baadhi ya watu wakishuhudia ajali ya basi aina ya Costal lenye namba za usajili T410 BJD lililokuwa likifanya safari zake kati ya Tanga na Lushoto likiwa limepinduka baada ya kugongana na Scania lenye namba namba T645 ABJ katika kijiji cha Mkanyageni wilayani Muheza. (picha: Elizabeth Kilindi via Habari Mseto blog)

WATU 12 wamekufa papo hapo na wengine 19 wamejeruhiwa vibaya katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria aina ya Toyota Costa inayosafiri kati ya Tanga na Lushoto...

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu Dar- Moro

 Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Bwawani Barabara ya Chalinze - Morogoro.

 

10 years ago

Daily News

12 killed, 83 injured in Tanga, Moro accidents


12 killed, 83 injured in Tanga, Moro accidents
Daily News
TWELVE people died and 83 others were injured in two different road accidents involving buses in Tanga and Morogoro regions. In Handeni District, 10 people died and 35 were reportedly injured after two buses and a private car were involved in an accident ...
12 killed, over 70 injured in Tanzania road accidentsGlobalPost (blog)

all 4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani