Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabasi UDA kuwa na vibao vinavyoonesha njia

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limekubaliana na Mamlaka ya Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra) kuweka vibao katika mabasi yake kuonesha njia yanakotoa huduma na si kupaka rangi. Mkuu wa UDA, Hamdy Al Hadj alisema kibao kitakachowekwa kitakuwa na rangi ya eneo husika kama ilivyo kwa daladala nyingine.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Madereva mabasi ya Uda wagoma

Madereva wa mabasi ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda), jana waligoma kushinikiza kupunguzwa kiwango cha fedha wanachotakiwa kurejesha kwa siku.

 

11 years ago

Habarileo

UDA yaingiza mabasi mapya 300

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limeingiza mabasi mapya 300 huku likielenga kufikisha idadi ya jumla ya mabasi 2000 ifikapo Juni mwaka huu ikiwa ni muendelezo wake wa kuboresha huduma za usafiri katika maeneo mbalimbali ya Jiji .

 

11 years ago

Habarileo

'Mabasi UDA lazima yawe na mistari'

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesisitiza kwamba, mabasi ya Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) yanatakiwa kupaka rangi kulingana na njia na si kuweka vibao pekee.

 

11 years ago

GPL

MADEREVA WA MABASI YA UDA WAGOMA KUINGIA KAZINI!

Picha zote zinaonyesha wakazi wa Mbagala wakiwa Mbagala Rangi Tatu wakisubiri usafiri na wengine wakipanda mabasi ya daladala kwa kugombea. Madereva wa Kampuni ya Usafi jijini Dar es Salaam (UDA), leo wamegoma kuingiza mabasi barabarani kwa kinachoelezwa ni madai mbalimbali ya haki zao dhidi ya shirika hilo. Kwa mujibu wa dereva mmoja ambaye hakupenda kuweka wazi jina lake, wamefikia hatua hiyo kufuatia uongozi wao kutosikia...

 

11 years ago

Habarileo

UDA yajiimarisha kwa kuzindua mabasi mapya 175

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA), limezindua mabasi mapya 175, katika mchakato wake wa uboreshaji wa shirika hilo lililofikisha miezi mitano tangu kufufuliwa upya.

 

11 years ago

Michuzi

MABASI YA UDA YANAENDESHWA BILA KUZINGATIA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI

Miaka ya nyuma ilikuwa Tajiri mwenye Basi akitaka kuajiri Dereva Swali la Msingi iliuweze kuajiariwa alikuwa anauliza kama Umewahi kuendesha wapi na wapi Ukitaja UDA kazi unapata haraka sana Tofauti na sasahivi madereva wa uda wamekuwa hawana sifa kwani tunashudia wanavyo endesha hovyo magari hayo Barabarani na hawaheshimu kabisa taratibu za uendeshaji.Ni jana usiku tu tumeona moja ya gari hilo likiwa mtaroni kutokana na uzembe wa madereva hao,sasa na asubuhi ya leo tunaona basi lingine...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

UDA kuuza tiketi kwa njia ya mtandao


Na Mwandishi Wetu,
KAMPUNI ya Simon Group Limited inayomiliki Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) imetangaza kuanza mpango wa kuuza tiketi kwa njia ya mtandao ili kuondoa msongmano na adha kwa watumiaji.
Mbali ya hatua hiyo, imesisitiza dhamira yake ya kuboresha sekta ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam licha ya kampeni zinazoendelea kutoka kwa washindani binafsi ikiwa na lengo la kuvuruga mpango unaoendelea wa uwezekezaji katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ili waweze...

 

10 years ago

GPL

DALADALA, UDA WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA MABASI YAENDAYO KASI DAR

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadik alizumgumza na wamiliki wa UDA na daladala.…

 

10 years ago

Habarileo

Mgomo wa mabasi kuwa historia

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul MakondaMGOMO wa madereva wa mabasi yaendayo mikoani, daladala na malori huenda usitokee tena nchini na hivyo kubaki kuwa suala la kihistoria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani