Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabondia waalikwa Zambia na Serbia

Mabondia wa Tanzania wamealikwa nchini Zambia na Serbia kujiiandaa na Michezo ya Afrika nchini Congo Brazzaville

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wawasili Serbia

Baada ya Macedonia kuruhusu wahamiaji kupita, wengi sasa wafika Serbia

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi ya Serbia na Albania yavurugika

Katika hali isiyo ya kawaida mechi kati ya Serbia na Albania imeshindwa kumalizika baada ya ndege isiyokuwa na rubani kubeba ujumbe wa kisiasa

 

5 years ago

MARCA.Com

Jovic sparks outrage in Serbia

Jovic sparks outrage in Serbia  MARCA.comArsenal fans react on Twitter to Luka Jovic loan reports  TBR - The Boot Room - Football NewsArsenal to consider move for Jovic if Madrid make him available  Read ArsenalArsenal: 3 reasons Luka Jovic should top Aubameyang replacement list  Pain In The ArsenalReport: Arsenal could challenge Spurs for striker  The Spurs WebView Full coverage on Google News

 

9 years ago

BBCSwahili

Serbia yailaumu Hungary kuhusu wakimbizi

Serbia na Umoja wa mataifa wameilaumu Hungary kwa kitendo cha kupiga mabomu ya machozi

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA

Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mhe Balozi Grace Mujuma tarehe 2 Julai hadi 6 Julai 2014 alifanya ziara ya kikazi ya siku nne jimbo la Copperbelt mji wa Ndola. Katika ziara hiyo, Mhe Balozi aliambatana na Afisa Ubalozi Richard M. Lupembe. Sambamba na ziara hiyo, tarehe 6 Julai 2014 Mhe Balozi alikutana na kufanya mkutano na Watanzania ambao ni wajasiriamali wadogo wadogo wanaoishi Mjini Ndola Zambia.
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakuu wakamatwa kwa sababu ya rushwa Serbia

Polisi nchini Serbia wamewakamata watu 79, akiwemo waziri wa zamani kwa tuhuma za ufisadi.

 

10 years ago

Mwananchi

Siasa zavuruga mechi ya Serbia dhidi ya Albania

Tofauti za kisiasa baina ya Albania na Serbia zimevunja mechi ya soka ya kufuzu kwa fainali za Ulaya, mwaka 2016 mjini Belgrade, Serbia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Serbia Vucic apigwa mawe

Waziri mkuu wa Serbia amepigwa mawe na kufukuzwa katika hafla ya ukumbusho wa miaka 20 ya mauaji ya halaiki Srebrenica Bosnia

 

10 years ago

Habarileo

Chadema waalikwa Bunge la Ulaya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata mwaliko wa kuhudhuria Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) na kushiriki mkutano mkuu wa chama tawala cha nchini Ujerumani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani