Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madam Ritha atoa ujumbe kufunga mwaka

MKURUGENZI wa Kampuni ya Benchmark Production, waandaaji wa shindano la Bongo Star Search (BSS), Ritha Poulsen ‘Madam Ritha’ amesema ujasiri ni kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu ambacho kitamfanya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MADAM MWAKA HUU BSS ISIWE NA LONGOLONGO

KWAKO Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen. Bila shaka u-mzima wa afya na unaendelea na shughuli zako za kila siku za kulijenga taifa. kitaka kujua hali yangu, mimi sijambo. Mzima wa afya na ninaendelea na majukumu yangu ya kila siku. Nimekukumbuka leo kupitia barua, maana kitambo kidogo hatujakutana ana kwa ana kikazi. Nimekukumbuka Madam sababu natambua uwepo wa shindano lako kubwa la Bongo Star Search. Msisimko...

 

10 years ago

GPL

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2015

Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja akitoa hotuba yake fupi katika Baraza la kufunga Mwaka 2014 na kuukaribisha Mwaka Mpya 2015 katika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza(kulia) ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(kushoto) ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Magereza, Mmeta Manyala. Baadhi ya… ...

 

10 years ago

Michuzi

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014

Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja akitoa hotuba yake fupi katika Baraza la kufunga Mwaka 2014 na kuukaribisha Mwaka Mpya 2015 katika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza(kulia) ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(kushoto) ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Magereza, Mmeta Manyala. Baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza kutoka Ofisi ya Makao Makuu ya Magereza pamoja na Mkoa wa Dar es Salaam wakisikiliza kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwaka wa uchaguzi,Kikwete atoa salamu za mwisho za mwaka

>Mwaka wa uchaguzi umeingia. Usiku wa kuamkia leo, Watanzania wameupokea mwaka mpya 2015 huku tafakari kubwa ikiwa ni matukio makubwa yatakayotokea mwaka huu, ukiwamo Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN MINJA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014, MAKAO MAKUU YA MAGEREZA, D'SALAAM

Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja akitoa hotuba yake fupi katika Baraza la kufunga Mwaka 2014 na kuukaribisha Mwaka Mpya 2015 katika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza(kulia) ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(kushoto) ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Magereza, Mmeta ManyalaBaadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza kutoka Ofisi ya Makao Makuu ya Magereza pamoja na Mkoa wa Dar es Salaam wakisikiliza kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Weusi kufunga mwaka Arusha

WeusiNA CHRISTOPHER MSEKENA

KUNDI la muziki wa hip hop nchini, Weusi linatarajia kufunga mwaka na kuufungua mwaka mpya nyumbani kwao Arusha katika viwanja tofauti tofauti.

Akizungumza na MTANZANIA moja ya wasanii wanaounda kundi hilo, Nikki wa Pili alisema kuwa wameamua kufunga mwaka nyumbani kwao kwa sababu mwaka mzima walikuwa wakifanya maonyesho maeneo mengine ya Tanzania.

“Tunarudi nyumbani kutoa burudani kwa mashabiki wetu, kwa mwaka mzima tumekuwa tukifanya maonyesho maeneo mbalimbali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani