Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADAM MWAKA HUU BSS ISIWE NA LONGOLONGO

KWAKO Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen. Bila shaka u-mzima wa afya na unaendelea na shughuli zako za kila siku za kulijenga taifa. kitaka kujua hali yangu, mimi sijambo. Mzima wa afya na ninaendelea na majukumu yangu ya kila siku. Nimekukumbuka leo kupitia barua, maana kitambo kidogo hatujakutana ana kwa ana kikazi. Nimekukumbuka Madam sababu natambua uwepo wa shindano lako kubwa la Bongo Star Search. Msisimko...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

FAINALI YA BSS 2015 KUFANYIKA OKTOBA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwandaaji  wa   Bongo Star Search, Rita Paulsen akizungumza na waandishi wa habari( hawapo pichani)  juu ya fainali ya (BSS) itakayofanyika Ijumaa ya Oktoba 9 mwaka huu katika ukumbi wa King Solomoni Hall uliopo karibu na Nyumbani Lounge au Eaters Point  eneo la Namanga  kuanzia saa moja jioni kikao hicho kimefanyika leo Jiji Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko  wa Huawei  Samson Majwala. Baadhi ya Wandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini  Mwandaaji  wa Bongo Star Search...

 

10 years ago

GPL

BSS: MADAM RITA ALIA NA BASATA

Stori: Mwandishi wetu MKURUGENZI wa Benchmark Production, Madame Rita Poulsen, amelia na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), chombo cha serikali kinachosimamia utamaduni kwa ujumla, akilielezea kuwa halina msaada wowote kwa shindano la kutafuta na kuibua vipaji vya wasanii wa muziki nchini, linalofahamika kama Bongo Stars Search (BSS). Mkurugenzi wa Benchmark Production, Madame Rita Poulsen. “Tunalipa fedha BASATA kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

BSS haijafa, sasa kuja kivingine- Madam Rita Poulsen

Jaji kiongozi wa mashindano ya kusaka vipaji vya muziki, maarufu BSS, Rita Poulsen amewataka mashabiki na wapenda muziki kuondoa hofu akieleza kuwa mashindano hayo hayajafa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madam Ritha atoa ujumbe kufunga mwaka

MKURUGENZI wa Kampuni ya Benchmark Production, waandaaji wa shindano la Bongo Star Search (BSS), Ritha Poulsen ‘Madam Ritha’ amesema ujasiri ni kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu ambacho kitamfanya...

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA BSS MWAKA 2013 ATINGA GLOBAL PUBLISHERS

Mshindi wa BSS 2014 Emmanueli Msuya akiwa katika mahojiano katika ofisi ya globalpublishers ....Emanueli Msuya akifanunua jambo alipokuwa akifanya interview ndani ya ofisi za globalpublishers .......Emanueli Msuya akiwa na mfanyakazi wa Globalpublishers bwana Musa Mateja.…

 

11 years ago

GPL

WEMA SEPETU 'MADAM' AKIWA RED CARPET DAR LIVE USIKU HUU

Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu akipozi katika red carpet ndani ya Dar Live usiku huu tayari kwa shindano la Ijumaa Sexiest Girl linalofikia tamati leo.

 

11 years ago

Dewji Blog

TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu

DSC07622

Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.

DSC07610

Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi  ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.

DSC07617

Mbunge wa jimbo la...

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili { Donor Conference } kwa ajili ya kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar unatarajiwa kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu hapa Zanzibar baada kukamilika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani