Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADRASA RAHMAN YA SEGEREA JIJINI DAR INAWAPA MKONO WA EID MUBARAK

Madrasa Rahaman na Nurysery School iliyopo Segerea mwisho jiji Dar-Es-Salaam,inawatakia waumini wote Eid Mubarak.Mnakaribishwa sana Madrasa  Rahaman na Nurysery School kituo kinachotoa Elimu yenye maadili mema kwa watoto. Eid Mubarak. usikose kujumuika nasi kwa simu +255(0) 757 608303 au 0712840960

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MADRASA RAHMAN SEGEREA INAWAPA MKONO WA EID MUBARAK

Madrasa Rahaman na Nurysery School iliyopo Segerea mwisho jiji Dar-Es-Salaam,inawatakia waumini wote Eid Mubarak.Mnakaribishwa sana Madrasa Rahaman na Nurysery School kituo kinachotoa Elimu yenye maadili mema kwa watoto. Eid Mubarak.
usikose kujumuika
simu +255(0) 757 608303 au 0712840960

 

11 years ago

Michuzi

Salam za Nane Nane kutoka Rahman Nursery School,Segerea jijini Dar

Shule ya chekechea na madrasa  Rahman ya Segerea jijini Dar-es-salam inatoa salam za sikuu ya Nane Nane kwa wadau na waTanzania wote.Karibuni sana tupo segerea mwisho.

 

9 years ago

Michuzi

MKONO WA EID MUBARAK KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU UGHAIBUNI

Bendi maarufu ya muziki wa dasni barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuniyenye makao kule Ujerumani inawatakia wadau wote mkono wa Eid el Hajj.Bendi hiyo inawatakia kila la heri na baraka katika kusherekea siku hii ya Eid Al Hajj, na kusema sikuu hii iwe ya amani, upendo na furaha. Ngoma Africa band inawapa mkono wa Eid Mubaraka.
usikose kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband

 

10 years ago

Michuzi

MASJID KUBAH NA MADRASAT RAHMAN SEGEREA, DAR INAWAKARIBISHA KATIKA MAULID TAREHE 9 HADI 10 MEI 2015

 Tunawataarifu waislamu wote kuwa tutakuwa na shughuli Haulia ya kisomo cha maulid ya kumsalia mtume Muhammad (s.w.a) katika Msikiti wa masjid Kubah na Madrasat Rahman ,Segerea mwisho,Tabata Dar-es-salaam tarehe  9 na 10 Mei 2015

Ratiba ya shughuli kuanzia asubuhi ya Jumamosi 9 Mei 2015 kisomo cha kinamama (wanawake) mchana kutakuwa na madrasa na kisomo cha wanafunzi  jioni hadi siku ya 10 Mai 2015 Kisomo cha haulia na Maulidi mnakaribishwa wote na madrsa wanazotaka kushiriki tafadhali pigeni...

 

10 years ago

Vijimambo

MASJID KUBAH NA MADRASAT RAHMAN SEGEREA INAWAKARIBISHA KATIKA MAULID SIKU 9 HADI 10 MAI 2015

Tunawataarifu waislamu wote kuwa tutakuwa na shughuli Haulia ya kisomo cha maulid ya kumsalia mtume Muhammad (s.w.a) katika Msikiti wa masjid Kubah na Madrasat Rahman ,Segerea mwisho,Tabata Dar-es-salaam siku ya 9 na 10 Mai 2015 mnakaribishwa wote na madrsa wanazotaka kushiriki tafadhali pigeni simu na. 0767617961 au 0712840960 pia 0777000036 karibu sana.
Ungana nasi at https://www.facebook.com/profile.php?id=100006405199429

 

10 years ago

Vijimambo

EID MUBARAK

CREW NZIMA YA VIJIMAMBO INAWATAKIA WAISLAM WOTE NA WALE WASIO  WAISLAM PAMOJA NA WAPENZI WA VIJIMAMBO SIKUKUU NJEMA YA EID, TUJUMUIKE PAMOJA, TULE,  TUCHEKE, TUSHEREHEKE  NA TUFURAHIKE NA VIJIMAMBO. EID MUBARAK

 

10 years ago

Vijimambo

SALAM ZA EID MUBARAK

 Humoud Seif na Zuwena Idd wa Maryland USA, wanawasalimia mama zao wazazi Maryam na Safia Humoud, wakiwa Zanzibar, Raya, Rauhia, Jokha, Naila na watoto wao wote wakiwa huko dar es salaam, Tanzania, tunakutakieni sikukuu njema

Mwenyekiti wa Jumuya ya Waislam watanzania (TAMCO) Washington DC, pamoja na familia yake  wanawatakia watanzania wote Eid njema, furaha na amaniBwana Deddy Ruba na sheikh Yussuf Makka wakiwa na wingi wa furana na familia zao, wanawatakia watu wote Eid njema





 

11 years ago

Michuzi

5 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani