Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAELFU WAMPOKEA EDWARD LOWASSA JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA

Wananchi wa Mji wa Soni katika Jimbo la Bumbuli, wakimlaki kwa shangwe Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Kisiwani, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo. Lowassa akiwasili Bumbuli.
 Lowassa akihutubia mkutano wa kampeni jimbo la Bumbuli leo.Umati wa Wananchi wa Mji wa Soni katika Jimbo la Bumbuli, wakisikiliza sera za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Bumbuli wampokea January Makamba kishujaa; Wambariki Urais.

 Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Naibu Waziri Sayansi na Teknolojia, January Makamba akipokelewa na wazee mara baada ya kuwasili jimboni kwake. Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Naibu Waziri Sayansi na Teknolojia, January Makamba akipokelewa na akina mama na kupewa baraka zake.Na Raisa Said, Bumbuli. 
Wakazi mbalimbali wa Jimbo la Bumbuli, wilayani Lushoto, Mkoani Tanga wamesema kuwa wapo tayari kumuunga mkono Mbunge wa Jimbo hilo, January Makamba kama ataamua kuwania nafasi ya kuwa mgombea wa...

 

9 years ago

Habarileo

Maelfu wampokea Diamond Dar

MSANII mahiri wa Tanzania katika muziki wa kizazi kipya aliyeng’ara na kutwaa tuzo tatu za Africa Magazine Award (AFRIMMA) Nassib Abdul `Diamond Platinumz’ amepokelewa kwa kishindo na maelfu ya mashabiki wake katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA KATIKA KAMPENI HANDENI NA KILINDI MKOANI TANGA

Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Kwediboma wilayani Kilindi mkoani Tanga jana.Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akisaalimiana na watoto baada ya kuhutubia wananchi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Kwediboma wilayani Kilindi mkoani Tanga jana.Ofisa wa Polisi akitoa heshima wa Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Vyama vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani