Maelfu wampokea Diamond Dar
MSANII mahiri wa Tanzania katika muziki wa kizazi kipya aliyeng’ara na kutwaa tuzo tatu za Africa Magazine Award (AFRIMMA) Nassib Abdul `Diamond Platinumz’ amepokelewa kwa kishindo na maelfu ya mashabiki wake katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMAELFU WAMPOKEA EDWARD LOWASSA JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA
Lowassa akihutubia mkutano wa kampeni jimbo la Bumbuli leo.Umati wa Wananchi wa Mji wa Soni katika Jimbo la Bumbuli, wakisikiliza sera za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha...
10 years ago
Vijimambo03 Dec
DIAMOND ATUA DAR, APOKELEWA KWA SHANGWE NA MAELFU
Diamond baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.
Mashabiki waliofika uwanja wa ndege kumpokea Diamond.
Diamond akipokelewa na mashabiki kwa shangwe.
MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa...
11 years ago
GPLMAELFU WAMZIKA ADAM KUAMBIANA KINONDONI DAR
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Michuzi12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
10 years ago
GPLCHADEMA WAMPOKEA LOWASSA
9 years ago
VijimamboMAMA SAMIA ARINDIMA TEMEKE, DAR ES SALAAM, WANANCHI KWA MAELFU WAFURIKA MKUTANO YAKE KATA YA BUZA
Wananchi wakimshangilia mgombea Mwnza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye...
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Maelfu wajitokeza kumuaga mweka hazina wa manispaa ya Ilala marehemu Medard Kabikile Stima, azikwa Jijini Dar
Pichani ni Watoto wa marehemu Medard Kabikile Stima ambaye alikuwa ni Mweka hazina wa Manispaa ya Ilala wakiwa wamebeba msalaba pamoja na picha kuongoza kuingiza mwili katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam ili kuangwa kiserikali na baadae kuelekea kanisani na kwenye makaburi ya Kinondoni ambapo Agosti 4, 2014 wamempumzisha katika nyumba yake ya milele.
Marehemu Stima alikufa katika ajali ya gari iliyotokea July 31, 2014 karibu na eneo la Bwawani, wakati wakielekea mjini...
9 years ago
VijimamboUBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE