CHADEMA WAMPOKEA LOWASSA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Lowassa-Chadema-1024x576.jpg)
Mbunge wa Monduli kwa tiketi ya CCM na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa (ndani ya gari) akilakiwa na makada wa CHADEMA alipowasili mkoani Arusha juzi jumatano. Na Sifael Paul Mamia ya makada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Jimbo la Monduli mkoani Arusha, wamejitokeza kumpokea Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa (pichani) ambaye ni mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ixuZZHG-1sU/VglaqTY5zzI/AAAAAAABhLU/4Bf6WlASzs0/s72-c/OTH_4792.jpg)
MAELFU WAMPOKEA EDWARD LOWASSA JIMBO LA BUMBULI MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ixuZZHG-1sU/VglaqTY5zzI/AAAAAAABhLU/4Bf6WlASzs0/s640/OTH_4792.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fmjjrY69mYg/VglarJjE3cI/AAAAAAABhLY/Y_ky1TbT4_c/s640/OTH_4811.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sQxnIRxfTnU/VglaweTBnsI/AAAAAAABhLs/p0qTkVd7wt0/s640/OTH_5016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XIjeDEAHdUU/VglaxV7nOFI/AAAAAAABhL0/DjsGGEs-kAE/s640/OTH_5037.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Jul
LOWASSA CHADEMA: Fitina zimempeleka Lowassa upinzani
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Lowassa kuhamia Chadema?
SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumtangaza Dk. John Magufuli kuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wapenzi wa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamemtaka akihame chama chake.
Kati ya wapenzi hao ni mbunge wa zamani wa Monduli, Luteni Lepilal Ole Molloimet, aliyesema jana kwamba iwapo Lowassa ataondoka CCM chama kitakuwa katika hali mbaya.
Akizungumza na Raia Tanzaia jana kwa simu, Molloimet alisema: “Tena mimi ninataka ‘a-cross’ (ahame). Afanye...
9 years ago
Daily News01 Sep
Slaa slams Chadema on Lowassa
IPPmedia
Daily News
CHADEMA has lost credibility and public trust for accepting former Prime Minister Edward Lowassa who has incessantly been implicated in various corrupt practices, the opposition party's former Secretary General, Dr Willibrod Slaa, charged in Dar es ...
Lowassa promises to control national debtIPPmedia
all 4
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Lowassa ndiye mgombea wa CHADEMA
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Mahanga amfuata Lowassa Chadema
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Hotuba ya Lowassa kujiunga Chadema
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Lowassa awagawa CUF, Chadema
MPANGO wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumtangaza kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, kujiunga na chama hicho uliotarajiwa kutekelezwa jana, umekwama huku kukiwa na taarifa za mgawanyiko ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Wiki iliyopita, Raia Tanzania liliandika taarifa kwamba Chadema walipanga kumtangaza Lowassa Jumapili ya jana baada ya kumaliza mazungumzo naye, lakini hilo lilishindikana.
Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinadai kuwa huenda...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Chadema: Bodaboda achaneni na Lowassa