Maendeleo hayana chama — asema Magufuli
Waziri Wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mheshimiwa Dkt.John MagufuliaAkifurahia na wanachama wapya waliojiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika kata ya Kasenga katika Jimbo la Chato Mkoani Geita.
Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa Mkuu wa wilaya ya Chato Rodrick Mpogolo wa pili kutoka kushoto pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndugu Clement Berege (wakwanza kulia). wa kwanza kushoto...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Magufuli anakimbia chama chake au chama kinamkimbia ?
KATIKA mazingira ya ukinzani wa kisiasa, kila unapotokea uchaguzi, ukweli huwa unatumika kwa nadra sana, na kila upande unaohusika katika ukinzani huo hujijengea dhana yake ya hicho unachokiita ukweli, lakini ambacho kinaweza kuwa mbali kabisa na […]
The post Magufuli anakimbia chama chake au chama kinamkimbia ? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Magufuli anakikimbia chama chake au chama kinamkimbia?
KATIKA mazingira ya ukinzani wa kisiasa, kila unapotokea uchaguzi, ukweli huwa unatumika kwa nadr
Jenerali Ulimwengu
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Kingunge ajiondoa CCM, asema chama kimekiuka katiba
9 years ago
MichuziHIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOUTIKISA MJI WA MOROGORO JIONI YA LEO,JK ASEMA MAGUFULI NDIO JIBU SAHIHI AWAMU YA TANO.
10 years ago
Mwananchi18 Jul
January amvaa Kingunge, asema sasa anakivuruga chama chao
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Magufuli asema M4C ni ‘Magufuli for Change’
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo
Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio
The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo10 years ago
VijimamboCCM Ina Kashfa ya Escrow Tu, asema Msekwa...Atakaye Katwa Jina Anaruhusiwa Kuhama Chama
Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Msekwa, ambaye ni mmoja wa viongozi wa zamani wanaotarajiwa kutoa mapendekezo yatakayokuwa msingi wa kupata mgombea wa urais wa CCM, alisema hayo kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa kila Jumatatu na Kituo cha Televisheni cha ITV.CCM imeshaanza...