MAGAZETI NA MJADALA WA VYOMBO VYA HABARI LEO
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLUN WAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI KUJADILI USHIRIKIANO BAINA YAO
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkazi wa WFP nchini Bw.Richard Ragan (katikati) pamoja na Mwakilishi wa mkazi wa shirika la Afya Duniani (WHO) Dk Rufaro Chatora (kulia) kabla ya kuanza kwa mkutano wa kuboresha ushirikiano kati ya Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na wahariri wa...
10 years ago
Michuzi14 Oct
UCHAMBUZI WA MAGAZETI KUTOKA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI
Huu ni uchambuzi wa Habari za Magazeti toka vituo mblimbali vya Televisheni October 14, 2015
TBC NEC Yatumia Mfumo Mpya, ni mfumo wa kujumlisha matokeo, Dkt. Magufuli aomba kura kwenye Mabasi. Pata dondoo hizi za magazeti ya leo hapa. https://youtu.be/4I5dO8epJR8
Star TVMagufuli Aahidi Bima Ya Afya Kwa Wananchi, Lowassa Kupigania Mikataba ya Madini, Mahujaji wengine 4 wagundulika kufariki. Habarika hapa zaidi. https://youtu.be/qqM7snXi8kM
CH 10Lowassa ageukia Madini, JK awajia Juu Viongozi...
TBC NEC Yatumia Mfumo Mpya, ni mfumo wa kujumlisha matokeo, Dkt. Magufuli aomba kura kwenye Mabasi. Pata dondoo hizi za magazeti ya leo hapa. https://youtu.be/4I5dO8epJR8
Star TVMagufuli Aahidi Bima Ya Afya Kwa Wananchi, Lowassa Kupigania Mikataba ya Madini, Mahujaji wengine 4 wagundulika kufariki. Habarika hapa zaidi. https://youtu.be/qqM7snXi8kM
CH 10Lowassa ageukia Madini, JK awajia Juu Viongozi...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
11 years ago
GPL
TANGAZO RASMI KWA VYOMBO VYA HABARI
TANGAZO RASMI KWA VYOMBO VYA HABARI Uongozi wa Swahili Media Group unapenda kuufahamisha umma kuwa Alex Kassuwi sio mtendaji wala
mkurugenzi katika kampuni hii na tunapenda kuwatahadharisha wadau wote kuacha kuwasiliana au kufanya mikataba ya aina yeyote kwa jina la Swahili Media Group na kampuni zake tanzu na Kassuwi kwani haitatambuliwa. Kuhusu taarifa potofu ambazo zimekuwa zikitolewa na aliyekuwa hisa ...
11 years ago
GPL
DK MUKANGALA AIPONGEZA NSSF KUVIUNGANISHA VYOMBO VYA HABARI
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia (mwenye traksuti nyeusi) akikabidhi kikombe kwa nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Business Times Limited baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mpira wa miguu. Wengine ni viongozi wajuu wa NSSF wakishuhudia. Nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Business Times Limited akionesha kitita cha shilingi milioni 4 na Nusu mara baada ya timu hiyo kuibuka...
11 years ago
GPL
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA NHC
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba NHC Bw. David Shambwe akisoma taarifa ya shirika hilo kukanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu Kyando ameundiwa zengwe na baadhi ya wabunge ili aondolewe katika shirika hilo, wanaofuatia katika picha ni Muungano Saguya Kaimu, Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii, Bw. Martin Mdoe, Mkuu wa...
10 years ago
GPLMOAT YAUPINGA MSWADA WA SHERIA YA VYOMBO VYA HABARI
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.  Mkurugenzi Mtendaji wa Sahara Comminication, Samuel Nyalla (katikati), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Saed...
10 years ago
GPL
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA TWAWEZA
MWAKA MMOJA KABLA YA UCHAGUZI, WANANCHI WENGI HAWAJAAMUA NANI AWE RAIS
WATANZANIA WENGI HAWARIDHIKI NA UTENDAJI WA WABUNGE NA HAWATAWACHAGUA TENA 12 Novemba 2014, Dar es Salaam: Mwananchi mmoja kati ya watatu (33%) Tanzania Bara hajui ni nani atayekuwa chaguo lake la Rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Hakuna mgombea hata mmoja anayependwa na wapiga kura kwa zaidi ya 15%. Kwa mujibu wa takwimu zilizokusanywa na Twaweza mwezi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania