TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA NHC
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/138.jpg?width=650)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba NHC Bw. David Shambwe akisoma taarifa ya shirika hilo kukanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu Kyando ameundiwa zengwe na baadhi ya wabunge ili aondolewe katika shirika hilo, wanaofuatia katika picha ni Muungano Saguya Kaimu, Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii, Bw. Martin Mdoe, Mkuu wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7sxpJvglx3VPNnzS8GN0FMEGw70TnthOkWc9Le8LK-LYpcXd8JaBPJxQR4002z4-jmLbyvAmOI*BNUarFHHEtFu/twawezalogo.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA TWAWEZA
11 years ago
GPL26 Dec
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA CCM DMV KUJIUZULU KWA KATINU MKUU, JACOB KINYEMI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXxCk*4BayWxQ85IbT6d1sCD7u5aDA5ktKsFTpIgf*MFgMEwsTpr7pgCud17yF5I0uzaLuAxIsYBbdslCDY5m-VM/yangalogo.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA YANGA
10 years ago
GPLTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA BASATA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-39AL2DfScAs/VOx9IoAoVyI/AAAAAAAC0ak/FkVzUihsyXA/s72-c/1-8d45276b5e.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Jan
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA JESHI LA WANANCHI (JWTZ)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/index27.jpg)
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa kwa wananchi na Vyombo vya Habari kuhusu mgogoro wa eneo la TONDORONI lililopo katika Wilaya ya Kisarawe kama ilivyokaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari hapa nchini.Taarifa zilizotolewa na kukaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari kwamba Wanajeshi wametumia nguvu kuwatoa wananchi eneo la TONDORONI na baadhi yao kudai kupotelewa na mali zao siyo za kweli na ni za kuwapotosha wananchi kwa sababu wananchi hao walitaarifiwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vLfXd-bG2Es/Vijl3khwR2I/AAAAAAABKfY/svBNgeNE6fk/s72-c/CCM%2BLOGO.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA CCM KUHUSU KUFUNGA KAMPENI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vLfXd-bG2Es/Vijl3khwR2I/AAAAAAABKfY/svBNgeNE6fk/s320/CCM%2BLOGO.png)
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi wa CCM Kitaifa waliopo madarakani na wastaafu. Mikoa hiyo na viongozi watakaoongoza mikutano hiyo ni kama ifuatavyo:
1. Mwanza – Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete, Mwenyekiti wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pLsoJC1iT94/VG9uiTi4jJI/AAAAAAAGyxI/l5ZiK9SixPI/s72-c/tff-wambura-feb9-2013(1)(3).jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA TFF KUHUSU MKUSANYIKO WA U12 DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-pLsoJC1iT94/VG9uiTi4jJI/AAAAAAAGyxI/l5ZiK9SixPI/s1600/tff-wambura-feb9-2013(1)(3).jpg)
Mkusanyiko wa kusaka kombaini hiyo kwa ajili ya timu itakayoshiriki mashindano ya Taifa yatakayofanyika mwishoni mwa mwezi ujao uko chini ya Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA).
Wachezaji hao wataanza kujaribiwa saa 1 hadi saa 5 asubuhi. Mashindano ya Taifa yatafanyika jijini Mwanza...