Magereza wakanusha udhalilishaji wa watuhumiwa
JESHI la Magereza limesema limefanya uchunguzi kubaini tuhuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikiripotiwa kwenye vyombo vya habari za kunyanyaswa na kutendewa vitendo visivyofaa watuhumiwa wa kesi za ugaidi na kugundua taarifa hizo hazina ukweli.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-768x529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-768x529.jpg)
Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2AA-1024x506.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JQa3--bG2Ps/VQ1sP1PYsxI/AAAAAAADdAo/nGnHm_tw6Vk/s72-c/image.jpeg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AVISHA YEO MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR ES SALAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JQa3--bG2Ps/VQ1sP1PYsxI/AAAAAAADdAo/nGnHm_tw6Vk/s1600/image.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bTICbcczo5Y/VQ1sP47alSI/AAAAAAADdAk/IjUIFSCy7Uk/s1600/image_1.jpeg)
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AZINDUA HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" MAGEREZA UYUI TABORA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6iaqySpaREY/Uvk5bXySDjI/AAAAAAAFMR4/MnyYxCwRGRo/s72-c/unnamed+(59).jpg)
KAMISHNA WA MAGEREZA NCHINI ZAMBIA ATEMBELEA MAGEREZA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6iaqySpaREY/Uvk5bXySDjI/AAAAAAAFMR4/MnyYxCwRGRo/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fCmtFMWoObM/Uvk5ZOCSkmI/AAAAAAAFMRU/Bua67v2DXB4/s1600/unnamed+(60).jpg)
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI KUVISHA VYEO MAAFISA WAANDAMIZI WA MAGEREZA MKOA WA DAR ES SALAM
Kwa Mamlaka aliyopewa kisheria na Tume ya Polisi na Magereza ya Mwaka 1990, Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini atawavisha vyeo hivyo katika Viwanja vya Chuo cha Maafisa wa Magereza Ukonga, Jijini Dar es Salaam.
Tume ya Polisi na Magereza katika Kikao...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VVaqTSmx_n8/XtUl3Qj3mzI/AAAAAAAC6iY/BNZSP9OpIDMjGH34C5D11YXYAaeg243ZACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AKABIDHI MALORI MATATU KATIKA SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA MAGEREZA (SHIMA) DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VVaqTSmx_n8/XtUl3Qj3mzI/AAAAAAAC6iY/BNZSP9OpIDMjGH34C5D11YXYAaeg243ZACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza katika makabidhiano ya magari hayo leo Juni 1, 2020 jijini Dodoma, Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleiman Mzee amesema kuwa kwa...
11 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA MAGEREZA NCHINI KUFANYIKA CHUO CHA MAAFISA WA MAGEREZA UKONGA JIJINI, DAR ES SALAAM
Jeshi la Magereza litafanya Maadhimisho ya Siku ya Magereza Nchini tarehe 20 Juni, 2014 kuanzia saa 2:00 asubuhi katika Viwanja vya Chuo cha Maafisa wa Magereza Ukonga, Dar es Salaam ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe(MB).
Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa leo Juni 18, 2014 na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja Maadhimisho haya ni ya pili kufanyika tangu Jeshi la Magereza Tanzania lianzishwe rasmi mwaka...
Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa leo Juni 18, 2014 na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja Maadhimisho haya ni ya pili kufanyika tangu Jeshi la Magereza Tanzania lianzishwe rasmi mwaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqCGYcQPKoy2AE-g2d4icNinkJdJuXgQ431MixBTSo6NUkrm1H0WIONLUQb9mJMgeV9HzmDoqZjWVdGv9VmIP7h/mktn1.jpg?width=650)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA ASHIRIKI MKUTANO WA TATU WA UMOJA TAASISI ZA MAGEREZA BARANI AFRIKA, MAPUTO MSUMBIJI
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, John Casmir Minja akichangia Mada katika Mkutano wa Tatu(03) wa Umoja wa Taasisi za Urekebishaji(Magereza) Barani Afrika uliofanyika hivi karibuni Maputo, Msumbiji. Maafisa na Askari Magereza wa Msumbiji wakimsikiliza Mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Watu wa Msumbiji, Mhe. Dkt. Armando Guebuza(hayupo pichani) katika ufunguzi wa Mkutano wa Tatu(03) wa Umoja wa Taasisi za...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HwIFjoqJqrc/U80NzY7hvoI/AAAAAAAF4XM/VvNrJDpSZ_Y/s72-c/unnamed+(44).jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA ASHIRIKI MKUTANO WA TATU(03) WA UMOJA TAASISI ZA MAGEREZA BARANI AFRIKA, MAPUTO MSUMBIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HwIFjoqJqrc/U80NzY7hvoI/AAAAAAAF4XM/VvNrJDpSZ_Y/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8aWWKiH9ILs/U80Nzg0sk8I/AAAAAAAF4XQ/Zkfouvh7AQo/s1600/unnamed+(45).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania