MAGUFULI AHUTUBIA NA KULIFUNGUA BUNGE LA 11
![](http://img.youtube.com/vi/_B4ORnG6aRk/default.jpg)
Rais Magufuli, aliwashukuru wananchi kwa mara nyingine kwa kumuamini na kumchagua, ambapo ameahidi kuwa kiongozi atakayewatumikia watu wote bila kubagua, na kwamba lengo lake ni kuhakikisha nchi ya tanzania inasonga mbele kimaendeleo.
Rais Magufuli kwenye hotuba yake pia akaeleza malalamiko aliyoyapokea kwa wananchi ambayo yeye anaona ni kero kwa wananchi, maeneo ambayo anasema ni lazima yashughulikiwe ipasavyo ili kuleta uaminifu kwa wananchi.
Kuhusu Uchumi rais Magufuli amesema kuwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRAIS JOHN POMBE MAGUFULI AHUTUBIA NA KUVUNJA BUNGE LA 11 JIJINI DODOMA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-QFDIU-GN3Ko/XujBjks-hHI/AAAAAAABMac/tuaagk5lDEYa8uJNgkiMowEY-QLd-Gq1QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AHUTUBIA NA KUFUNGA BUNGE LA 11 JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QFDIU-GN3Ko/XujBjks-hHI/AAAAAAABMac/tuaagk5lDEYa8uJNgkiMowEY-QLd-Gq1QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dsh6OVc-qFc/XujBkUubgsI/AAAAAAABMak/bRuD47UCrwoIe6eSU1uhLKKIdE4llAHoACLcBGAsYHQ/s400/4.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kulihutubia na kulifunga Bunge hilo la 11 jijini Dodoma. P
![](https://1.bp.blogspot.com/-v9HgFyPMu1g/XujBt0BBV5I/AAAAAAABMas/i-ILbFnzUKwUTvqoMoO8bwsTIfwAB2LxgCLcBGAsYHQ/s400/5.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-G-3XRhFiVzk/XujBsqkwePI/AAAAAAABMao/vRHTtPSjhDYX-gLpv7Z72a1h-cjj_jiRACLcBGAsYHQ/s400/6.jpg)
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Rais wa China ahutubia bunge la Uingereza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMku8UlNsqnI4pzrzhU0rQMZio9Kl7GwjvJnOcT3sirPLmU5rTxJcuDNYVAiLcmQBYF39qxxkzi3NCfOKZxNWtaL/BREAKINGNEWS.gif)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fIUJFWJc9Ik/ViUOUgiHT5I/AAAAAAAAqNM/QpncSeylljA/s72-c/2.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fIUJFWJc9Ik/ViUOUgiHT5I/AAAAAAAAqNM/QpncSeylljA/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OzeJgPtZMFc/ViUOTw9nxVI/AAAAAAAAqNE/gtJ8OlwZO2U/s640/4.jpg)
9 years ago
Mwananchi07 Oct
JK ahutubia Bunge Kenya, asema mgombea wa CCM atashinda urais
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-CWj4giECkD8/ViatS9ahy5I/AAAAAAAAqPo/p0b6hRToM4U/s72-c/11.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA SENGEREMA SEHEMU ALIYOFUNDISHA SEKONDARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-CWj4giECkD8/ViatS9ahy5I/AAAAAAAAqPo/p0b6hRToM4U/s640/11.jpg)
Dk. Magufuli aliwaambia wananchi hao kuwa atakuwa kiongozi mwenye maamuzi makini na kufanya kazi kwa bidii katika kuleta maendeleo kwa Watanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUZG43Han1s/VibxNWsJKiI/AAAAAAAAqQ8/8mLAKMvreds/s640/5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vDif5lgAt9g/VhIb8aTyRaI/AAAAAAADAR4/E-LzGOMh88Q/s72-c/_MG_2760.jpg)
magufuli ahutubia wakazi wa katesh asubuhi hii MKoani Manyara
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDif5lgAt9g/VhIb8aTyRaI/AAAAAAADAR4/E-LzGOMh88Q/s640/_MG_2760.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhbmzRWTrXo/VhIb7j1ecTI/AAAAAAADARw/jh5o-lDVTZw/s640/_MG_2778.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ge-yXb0p4Nc/VhIb5gc_q2I/AAAAAAADARg/1OPHFoNKROc/s640/_MG_2749.jpg)
10 years ago
GPLMHE. MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO DAR, AHUTUBIA NYOMI MBAGALA