magufuli ahutubia wakazi wa katesh asubuhi hii MKoani Manyara
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDif5lgAt9g/VhIb8aTyRaI/AAAAAAADAR4/E-LzGOMh88Q/s72-c/_MG_2760.jpg)
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika Viwanja vya Ofisi ya CCM mjini Katesh, mkoani Manyara mapema leo asubuhi .Dkt Magufuli anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa jioni ya leo mjini Karatu unaotarajiwa kurushwa live na kituo cha Star TV.
Kiongozi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CCM,Ndugu Abdallah Bulembo akiwaonesha wananchi wa Katesh mfano wa karatasi ya kupigia kura na namna ya kumpigia kura Dkt Magufuli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Kinana ahutubia wakazi wa Mpwapwa mkoani Dodoma
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mpwapwa kwenye uwanja wa mikutano Mnarani ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa ahadi zilizoahidiwa na CCM zitatekelezwa kama ilivyopangwa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-leGP3-9lOlA/VPc0tc6UGtI/AAAAAAAAXgQ/ZQyirfKYaL4/s1600/2.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Adam Kimbisa akihutubia wananchi wa Mpwapwa mjini na kuwaambia katika uongozi wake atawapa nafasi wale watu wanaotakiwa na wananchi wenyewe kuwaongoza na kusema hakutokuwa na makosa ya kukata majina.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDiB7Kb_Lps/VPdB_b-sYkI/AAAAAAAAXgw/yEPXEKKYO0k/s1600/4.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM...
10 years ago
Vijimambo12 Dec
TASWIRA,WAKAZI WA MEATU WALIVYOTOA HISIA ZAO KWA MWIGULU HII LEO ASUBUHI
![](https://scontent-b-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10412004_320970088105226_1031506155742008659_n.jpg?oh=2fda4430f0da12b0db38fdc81ea0e45f&oe=550811C0)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10407823_320970231438545_329675611837839121_n.jpg?oh=52cc47c0dc051b7e7b68230e5802ae04&oe=550719C7&__gda__=1425926030_50f6ee5b889334a23270048a9c272c8e)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/1558501_320970274771874_2299597896817030127_n.jpg?oh=6b271520fd33a27e4a53709ff9abbe98&oe=5507E1BA&__gda__=1430634631_99950049876296141a9e8de3a665210d)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10429352_320970414771860_5396356687723862500_n.jpg?oh=0f2a054e561bd5a8b0771661969bd259&oe=55476A40)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10439494_320970324771869_5890798777481089380_n.jpg?oh=d40da2faa504f66a557b473c9b08ea67&oe=55149496&__gda__=1430529319_f8dd0d696b63b5d84742daa18334e18b)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10441035_320970368105198_4327699698485445088_n.jpg?oh=00ca8b1a2c942114ba6d0c4e18dad9b5&oe=550F9DB8)
![](https://scontent-b-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/1937441_320970478105187_5838894816390767449_n.jpg?oh=87f045cb17bb65d78712236c00cc29c3&oe=550E3161)
9 years ago
StarTV06 Nov
Wakazi wa Manyara wamshauri Dk. Magufuli kutozitekeleza kwa pupa ahadi zake
Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Manyara wamemshauri rais mpya wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dokta JohnMagufuli kutofuata mashinikizo ya baadhi ya watu ya kumtaka atekeleza ahadi zake kwa pupa.
Wamesema kuwa shinikizo la kutaka atekeleze ahadi zake haraka haraka inaweza kusabisha baadhi ya ahadi hizo kutekelezwa kwa ubora usiostahili.
Wakazi hao wa mkoa wa Manyara wametoa kauli hiyo leo mara baada ya dokta John Magufuli kuapishwa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Askofu mkuu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FvPbZjsdp3c/VbHjJknUx_I/AAAAAAAHrbY/YXyS363jR6E/s72-c/AjzMGE4xHNq-k56AdE1Y8ku5HG6ZXN9q1FTOplbTcqqB.jpg)
DK. MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA KIBAIGWA ASUBUHI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-FvPbZjsdp3c/VbHjJknUx_I/AAAAAAAHrbY/YXyS363jR6E/s640/AjzMGE4xHNq-k56AdE1Y8ku5HG6ZXN9q1FTOplbTcqqB.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QytqV1AWKtE/VbHjJfe6uFI/AAAAAAAHrbU/eHMIyf87V8k/s640/AsZ2aLLkWnOBD_4TR6cnc926JrfNmAqLVv29hfAS5iEm.jpg)
9 years ago
Michuzi08 Oct
MAKAMBA AHUTUBIA WAKAZI BUMBULI NA MALALO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/PrriwsPtRVJoEuPDhVi0fWEDvvKn2PtubWJ7BU87E1rxn5FkOXPeIPI176SsIi1KjvH4UDn3EBSqWI1SsW65GhBvu7cQhe97DRG88ycyeygEzWQLPAqIfVdRYvVZYBIJTTMNDYRmj5rpHoS7Fb--pLoor6AL-rTBaT7nAJIOCadPqLEbxs3tEB57argf0kOOQvL6P2LTIhAzG2vh_f0kQedG8GTttzHTgU8uB6o=s0-d-e1-ft#https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12122734_892457587474733_2065806451605691311_n.jpg?oh=adabd08eb6e219533c9c229479027ea5&oe=56CE690E)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/VQELiuBeFuKiEyEyew3c8j3FPmX09AIdtbfjmTV94i3piHXIAetXuhDZUYLW7bSkYUGqyCHONXTinbpy13aYLbwbjBAncsiHpwUoFubxg9aizsPJY22IP0P2ado08jYmeBVhHu4hhrdzf5zVdfuUebTLrtv3cKStTx7cGm_jRngLHFYfkikcoXihgrhBW7LanNLj0oqdqbqdo3YwKQvREh9I1h0EffQx_jp4Bqx73t1pPXe2iEu1bW1Jj8r-ZVYQDDAYwOUdBvOqJr73Qz1Up93bcAin6sWYv3EtGiH5kh670LB9s9s8jrr_JTM5=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/12072657_892457434141415_4494095298932909078_n.jpg?oh=77f239da425c26afa445fd53ff3ba838&oe=56CDC34C&__gda__=1453083770_ff9856b113c686243895464557e6ada8)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/bjJAAOpa4467Yu0kKBfkbnfNIUnSeBFhnQVPm7lUUziFaTDJ4YOZbrTEgNe25Y0Uic-2uunOjfb6JuPvSd6JPf6XRzLPihDbaB58pRkObkdoZWa-rtCONzLP3dHy71CQR1C9F7Nc3HM6feIVyFgiFyEh0rHTtjzMjKrli3RWH4T19QMmp02La4Xy2Nqfjppy2FMPl9TcZ0ZX5pD-kRS_iwz40yhREdgopd708J5hwQvMugveCWc36VUi2WsNRAwVZNzpsFAhD3w1gnKqm9f44yQx2BCAL0httK-012pUc7tXQ--R-1fZt7kH-ZiU=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-9/12047204_892457504141408_3936958525474907489_n.jpg?oh=1d8c5fc2e039de1548891a165ec1c32a&oe=5689B63F&__gda__=1456530611_cf75eca14a1b50fc7c791996aecce56d)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU NANE MKOANI SINGIDA,KESHO KUELEKEA MKOANI MANYARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s1600/15.jpg)
10 years ago
GPLLOWASSA AHUTUBIA WAKAZI WA MTO WA MBU, ARUSHA
10 years ago
StarTV09 Jan
Wakazi Golimba Manyara waomba kujengewa Zahanati.
Na Zacharia Mtigandi,
Manyara.
Baadhi ya wakazi wanaoishi maeneo ya vijijini mkoani Manyara wanaopata huduma za matibabu kwa njia ya ndege wameiomba Serikali kuwajengea vituo vya afya na zahanati ili kuepusha vifo vinavyoweza kuepukika.
Wamesema utaratibu wa ndege kuwaletea dawa kila mwisho wa mwezi hauokoi maisha yao hasa kwa wagonjwa wanaougua magonjwa yanayohitaji matibabu ya haraka.
Wakati Serikali ikionyesha kupiga hatua kubwa katika sekta ya afya kwa kujenga hospitali, vituo vya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7r9N0eEmMH0/VlaVbDHcMkI/AAAAAAAAXCA/cfzdfNVmpds/s72-c/IMG_9494%2B%25281024x683%2529.jpg)
WAKAZI WA MIKOA YA MANYARA,ARUSHA NA KILIMANJARO WAJITOKEZA UZINDUZI WA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7r9N0eEmMH0/VlaVbDHcMkI/AAAAAAAAXCA/cfzdfNVmpds/s640/IMG_9494%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JEgrZSZWn5E/VlaV_wrCiOI/AAAAAAAAXC8/-XhaucDllK4/s640/IMG_9570%2B%25281024x683%2529.jpg)
Wanafunzi wa kozi ya awali ya Askari Polisi kutoka shule ya Polisi Tanania wakiwa katika manda,ano ya uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Kanda ya Kaskazini.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9jZWwotjStE/VlaWx89VK3I/AAAAAAAAXEM/adAJkRfvGQg/s640/IMG_9602%2B%25281024x683%2529.jpg)