Kinana ahutubia wakazi wa Mpwapwa mkoani Dodoma
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mpwapwa kwenye uwanja wa mikutano Mnarani ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa ahadi zilizoahidiwa na CCM zitatekelezwa kama ilivyopangwa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-leGP3-9lOlA/VPc0tc6UGtI/AAAAAAAAXgQ/ZQyirfKYaL4/s1600/2.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Adam Kimbisa akihutubia wananchi wa Mpwapwa mjini na kuwaambia katika uongozi wake atawapa nafasi wale watu wanaotakiwa na wananchi wenyewe kuwaongoza na kusema hakutokuwa na makosa ya kukata majina.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDiB7Kb_Lps/VPdB_b-sYkI/AAAAAAAAXgw/yEPXEKKYO0k/s1600/4.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aB6xV8D3cgw/VPdvd1O2e5I/AAAAAAAC064/Cb2-dL7vXD0/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE WILAYANI MPWAPWA MKOANI DODOMA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aB6xV8D3cgw/VPdvd1O2e5I/AAAAAAAC064/Cb2-dL7vXD0/s1600/7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jse9Z6fK204/VPduf4Ry07I/AAAAAAAC06U/SDWcyZ55o_w/s1600/22.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9xdTjUcF2U/VPc0wqD98JI/AAAAAAAAXgY/asxOXN7ZJgY/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA MKOANI DODOMA ATEMBELEA MIRADI MBALI MBALI WILAYANI MPWAPWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9xdTjUcF2U/VPc0wqD98JI/AAAAAAAAXgY/asxOXN7ZJgY/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-leGP3-9lOlA/VPc0tc6UGtI/AAAAAAAAXgQ/ZQyirfKYaL4/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDiB7Kb_Lps/VPdB_b-sYkI/AAAAAAAAXgw/yEPXEKKYO0k/s1600/4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vDif5lgAt9g/VhIb8aTyRaI/AAAAAAADAR4/E-LzGOMh88Q/s72-c/_MG_2760.jpg)
magufuli ahutubia wakazi wa katesh asubuhi hii MKoani Manyara
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDif5lgAt9g/VhIb8aTyRaI/AAAAAAADAR4/E-LzGOMh88Q/s640/_MG_2760.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhbmzRWTrXo/VhIb7j1ecTI/AAAAAAADARw/jh5o-lDVTZw/s640/_MG_2778.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ge-yXb0p4Nc/VhIb5gc_q2I/AAAAAAADARg/1OPHFoNKROc/s640/_MG_2749.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana awasili Dodoma na kuanza ziara wilaya ya Mpwapwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma akitokea mkoani Ruvuma ambako alihudhuria mazishi ya Kada wa CCM na Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi Marehemu John Damiano Komba aliyefariki hivi karibuni, Chama cha Mapinduzi kilikuwa na maombolezo ya kitaifa ya siku tatu mpaka mazishi ya kiongozi huyo yalipofanyika jana yakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais Jakaya Kikwete
Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s72-c/2.jpg)
KINANA AHUTUBIA MKUTANO WA KIHISTORIA KATORO MKOANI GEITA
![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6UfbDRRVZ3E/VYQ8ZQvA_EI/AAAAAAAAe4Q/wnjuWpFjG-k/s1600/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/110.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWASILI DODOMA NA KUANZA ZIARA WILAYA YA MPWAPWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cv3cDJjmqoM/VB_242_YDqI/AAAAAAAGk8w/9P5G6LBYFUs/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MTU MMOJA AUAWA NA WANANCHI BAADA YA KUMUUA MKEWE WILAYANI MPWAPWA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-cv3cDJjmqoM/VB_242_YDqI/AAAAAAAGk8w/9P5G6LBYFUs/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea mnamo tarehe 20/09/2014 majira ya saa 23:30hrs katika Kijiji cha Mzogole Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la MWAJUMA D/O CHOMOLA mwenye umri wa miaka 48, Mgogo mkazi wa Mzogole aliuawa kwa kupigwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kGC8tzO0ZIM/VeXce7IDW_I/AAAAAAAAyV0/ZlX1-vT-CEs/s72-c/DSC_0588.jpg)
MAMA SAMIA ACHANJA MBUNGA LEO CHAMWINO, KONGWA NA MPWAPWA MKOANI DODOMA KUSAKA KURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kGC8tzO0ZIM/VeXce7IDW_I/AAAAAAAAyV0/ZlX1-vT-CEs/s640/DSC_0588.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNW-7hnQgko/VeXcfiZgzyI/AAAAAAAAyWA/TKLg-NNpwcE/s640/DSC_0589.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x_iqMniBod0/VeXcftxxzkI/AAAAAAAAyV8/5ur0g4evg9w/s640/DSC_0592.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA DODOMA WASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA NDANI YA TAMASHA LA FIESTA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XjgVr8hRH6I/VDHP97QoYbI/AAAAAAAGoNE/DRSpW2L9ZwA/s1600/7.jpg)
Pichani ni kulia ni Msanii wa bongofleva AbdulKiba akiimba sambamba na kaka yake Alli Kiba ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga ya muziki wa kizazi kipya kupitia nyimbo zake mbili alizoziachai hivi karibuni,ikiwemo MwanaDaisalama na Kimasomaso,
![](http://3.bp.blogspot.com/-q01ufSDEll8/VDJOCTrlcuI/AAAAAAACsT0/Xpoq0k0Ow9Y/s1600/IMG_3191.jpg)