Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKAMBA AHUTUBIA WAKAZI BUMBULI NA MALALO

Mzee yupo tayari kwa kupiga kura kumchagua Rais,Mbunge na Diwani wa Chama cha Mapinduzi.January Makamba akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Mamba,Kubwa ametekeleza Upatikanaji wa Umeme,Usambazi wa maji na uanzishwaji wa kituo cha Afya.January Makamba chaguo la Wanabumbuli.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kaniki: Najipanga kumrithi January Makamba Jimbo la Bumbuli

Wakati Mbunge wa Bumbuli, January Makamba akitangaza nia ya kugombea urais mwaka huu, kada wa CCM Abdul Kaniki ametangaza nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo hilo kumrithi.

 

10 years ago

Michuzi

Bumbuli wampokea January Makamba kishujaa; Wambariki Urais.

 Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Naibu Waziri Sayansi na Teknolojia, January Makamba akipokelewa na wazee mara baada ya kuwasili jimboni kwake. Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Naibu Waziri Sayansi na Teknolojia, January Makamba akipokelewa na akina mama na kupewa baraka zake.Na Raisa Said, Bumbuli. 
Wakazi mbalimbali wa Jimbo la Bumbuli, wilayani Lushoto, Mkoani Tanga wamesema kuwa wapo tayari kumuunga mkono Mbunge wa Jimbo hilo, January Makamba kama ataamua kuwania nafasi ya kuwa mgombea wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

January Makamba ashinda Uchaguzi wa ndani ya CCM na kuwa Mgombea wa Ubunge Bumbuli

January-Makamba

Mh January amepewa tena ridhaa ya kuendelea kugombea Jimbo la Bumbuli na wana CCM katika uchaguzi uliofanyika ndani ya chama na Kuibuka kinara kwa kura nyingi na zakishindo dhidi ya wagombea wenzake.

11822402_879964805411918_167515375971033355_n

Hivi Ndivyo Matokeo yalivyokuwa…..

 

9 years ago

Vijimambo

WAKATI ARUSHA MAGUFULI AKISABABISHA TSUNAMI,MWIGULU NA MAKAMBA WAFANYA KATA KWA KATA HUKO BUMBULI

Mwigulu Nchemba na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Bumbuli Mh.January Makamba wakiwasili Kata ya Usambara kwaajili ya Mkutano wa hadhara wa kampeni mapema hii leo.Wajumbe wa timu ya Kampeni ya Ushindi ya Chama cha Mapinduzi wakiteta Jambo.January Makamba akimsikiliza Mwananchi wake kwa Makini.Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Funta hii leo.Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Tamota wakati wa kuomba kura za Urais,Ubunge na Udiwani kwa Chama cha Mapinduzi hii leo...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA AHUTUBIA WAKAZI WA MTO WA MBU, ARUSHA

Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa akihutubia wananchi wa Mto wa Mbu katika mkutano wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa eneo la Migombani, Mto wa Mbu jijini Arusha jana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ahutubia wakazi wa Mpwapwa mkoani Dodoma

1

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mpwapwa kwenye uwanja wa mikutano Mnarani ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa ahadi zilizoahidiwa na CCM zitatekelezwa kama ilivyopangwa.

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Adam Kimbisa akihutubia wananchi wa Mpwapwa mjini na kuwaambia katika uongozi wake atawapa nafasi wale watu wanaotakiwa na wananchi wenyewe kuwaongoza na kusema hakutokuwa na makosa ya kukata majina.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM...

 

9 years ago

Michuzi

magufuli ahutubia wakazi wa katesh asubuhi hii MKoani Manyara


 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika Viwanja vya Ofisi ya CCM mjini Katesh, mkoani Manyara mapema leo asubuhi .Dkt Magufuli anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa jioni ya leo mjini Karatu unaotarajiwa kurushwa live na kituo cha Star TV. Kiongozi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CCM,Ndugu Abdallah Bulembo akiwaonesha wananchi wa Katesh mfano wa karatasi ya kupigia kura na namna ya kumpigia kura Dkt Magufuli...

 

11 years ago

TheCitizen

Bumbuli needs 60 new school laboratories

Bumbuli Council is supposed to build 63 science laboratories to beat the November deadline set by President Jakaya Kikwete, the district executive director, Mrs Beatrice Msomisi, revealed.

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AUNGURUMA BUMBULI

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. Jonh Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Bumbuli, wilayani Lushoto, mkoani Tanga leo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani