Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGUFULI AUNGURUMA BUMBULI

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. Jonh Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Bumbuli, wilayani Lushoto, mkoani Tanga leo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Magufuli aunguruma nyumbani kwa Kikwete

g4Na Bakari Kimwanga, Bagamoyo

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kugundulika kwa gesi wilayani Bagamoyo kutatimiza ndoto yake ya kuijenga  Tanzania mpya ya viwanda.

Dk. Magufuli ametoa kauli hiyo wilayani Bagamoyo, katika mikutano yake ya kampeni aliyoifanya kwenye majimbo ya Chalinze na Bagamoyo.

Alisema Tanzania mpya yenye kutoa ajira kwa vijana na kuwawezesha wanawake na wazee kiuchumi inakuja chini ya Serikali ya awamu ya tano, ambayo...

 

9 years ago

Vijimambo

KINANA MWANZA,MAGUFULI MOSHI NA HAI..HUKO BUMBULI NA MLALO WALIKUWA VIJANA WA KAZI WA CCM HAWA HAPA

Mzee yupo tayari kwa kupiga kura kumchagua Rais,Mbunge na Diwani wa Chama cha Mapinduzi.January Makamba akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Mamba,Kubwa ametekeleza Upatikanaji wa Umeme,Usambazi wa maji na uanzishwaji wa kituo cha Afya.January Makamba chaguo la Wanabumbuli.Watoto nao ni Chipukizi wa Chama cha Mapinduzi kwa uongozi Ujao."Mabadiliko ya kweli yapo CCM"January Makamba akinadi sera zake na kuzungumzia Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa jimbo la Bumbuli kata ya...

 

9 years ago

Vijimambo

WAKATI ARUSHA MAGUFULI AKISABABISHA TSUNAMI,MWIGULU NA MAKAMBA WAFANYA KATA KWA KATA HUKO BUMBULI

Mwigulu Nchemba na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Bumbuli Mh.January Makamba wakiwasili Kata ya Usambara kwaajili ya Mkutano wa hadhara wa kampeni mapema hii leo.Wajumbe wa timu ya Kampeni ya Ushindi ya Chama cha Mapinduzi wakiteta Jambo.January Makamba akimsikiliza Mwananchi wake kwa Makini.Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Funta hii leo.Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Tamota wakati wa kuomba kura za Urais,Ubunge na Udiwani kwa Chama cha Mapinduzi hii leo...

 

11 years ago

TheCitizen

Bumbuli needs 60 new school laboratories

Bumbuli Council is supposed to build 63 science laboratories to beat the November deadline set by President Jakaya Kikwete, the district executive director, Mrs Beatrice Msomisi, revealed.

 

9 years ago

TheCitizen

Study on Bumbuli playground finished

Bumbuli will have a modern playground following the completion of a feasibility study and a design by experts commissioned by immediate former MP January Makamba who is seeking re-election.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Miradi ya maji Bumbuli ichunguzwe’

Wakazi wa Kijiji cha Mponde, Kata ya Soni, Halmashauri ya Bumbuli, wilayani Lushoto mkoani Tanga, wameitaka Serikali kuichunguza miradi ya maji iliyoko Bumbuli, baada ya miradi hiyo kujengwa chini ya kiwango huku baadhi yake ikishindwa kutoa huduma.

 

11 years ago

Mwananchi

Bumbuli kutumia Sh24 bilioni

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya Bumbuli limepitisha mapendekezo ya bajeti kwa ajili ya mwaka 2014/2015, imefahamika.

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMBA AHUTUBIA WAKAZI BUMBULI NA MALALO

Mzee yupo tayari kwa kupiga kura kumchagua Rais,Mbunge na Diwani wa Chama cha Mapinduzi.January Makamba akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Mamba,Kubwa ametekeleza Upatikanaji wa Umeme,Usambazi wa maji na uanzishwaji wa kituo cha Afya.January Makamba chaguo la Wanabumbuli.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

11 years ago

Michuzi

JK aongoza Harambee ujenzi wa Kanisa la KKKT Bumbuli

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Naibu waziri Mawasiliano Sayansi na Technolojia na mbunge wa Bumbuli January Makamba wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa la Bumbuli Shughuli hiyo imefanyika katika Hotel ya Golden Tulip  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wimbo wa wanabumbuli mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip kwa ajili ya harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa la Kilutheri la Bumbuli, Kushoto ni askofu mkuu wa KKKT DKt.Gerhas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani