Magufuli aunguruma nyumbani kwa Kikwete
Na Bakari Kimwanga, Bagamoyo
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kugundulika kwa gesi wilayani Bagamoyo kutatimiza ndoto yake ya kuijenga Tanzania mpya ya viwanda.
Dk. Magufuli ametoa kauli hiyo wilayani Bagamoyo, katika mikutano yake ya kampeni aliyoifanya kwenye majimbo ya Chalinze na Bagamoyo.
Alisema Tanzania mpya yenye kutoa ajira kwa vijana na kuwawezesha wanawake na wazee kiuchumi inakuja chini ya Serikali ya awamu ya tano, ambayo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL01 Mar
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LbkgW8P961I1x6RrBTQya8*QvQrxbtE0X*i9W4ctEjBk8V4kPI-ngd5z5JrLjWFi7xeFbRqvVF2f5efLuIKdnCT/MAGUFULI1.jpg?width=650)
MAGUFULI AUNGURUMA BUMBULI
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Ukawa wavamia nyumbani kwa Rais Kikwete
Na Elias Msuya, Bagamoyo
MGOMBEA Mwenza wa Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, ametinga wilayani Bagamoyo na msafara wake ikiwa ni mwendelezo wa safari zake za kampeni.
Wakizungumza katika mkutano huo uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Majengo, makada wa umoja huo, waliwataka wananchi wa Bagamoyo kumchagua mgombea urais, Edward Lowassa, ili atatue kero zao.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Zanzibar), Ali Said Mohamed, alisema wilaya hiyo ndiko anakotoka...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Rais Kikwete atoa pole nyumbani kwa marehemu Jaji Mstaafu Lewis Makame
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2014.
Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4RxDm_ksv14/Vf6JDtMO4NI/AAAAAAAH6OY/uLxXrtqKnqg/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Mama Salma Kikwete aunguruma katika kampeni za ubunge chalinze
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-P1Xb0gJSQsI/Uz27v90t2LI/AAAAAAAFYR0/Ci1fFicJ6bY/s1600/32.jpg?width=650)
RIDHIWANI KIKWETE AUNGURUMA KATA YA BWILINGU NDANI YA JIMBO LA CHALINZE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P1Xb0gJSQsI/Uz27v90t2LI/AAAAAAAFYR0/Ci1fFicJ6bY/s72-c/32.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AUNGURUMA KATA YA BWILINGU NDANI YA JIMBO LA CHALINZE LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-P1Xb0gJSQsI/Uz27v90t2LI/AAAAAAAFYR0/Ci1fFicJ6bY/s1600/32.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JHa--vPwtD4/Uz28GW4t5OI/AAAAAAAFYSc/FDMqJF4f4ls/s1600/36.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J9Z8X_rqg-M/Uz278MawsCI/AAAAAAAFYR8/PfCe522vRVs/s1600/23.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-L3XM2EMGpmY/VcDBaC04m2I/AAAAAAAAxTI/pv7JtdcMuo4/s640/DSC_0002.jpg)
DK. MAGUFULI ACHUKUA FOMU KWA KISHINDO, AIWASILISHA KWA RAIS KIKWETE KUTHIBITISHA