MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fIUJFWJc9Ik/ViUOUgiHT5I/AAAAAAAAqNM/QpncSeylljA/s72-c/2.jpg)
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli leo amehutubia jumla ya mikutano 16 ambapo miwili tu ndio iliyokuwa rasmi,alihutubia Kamanga,Nyamatongo,Katunguru,Kasenyi,Nyamazongo,Luchili,Bukokwa, Kalebezo,Nyehunge(mkutano rasmi), Wezera,Nzera,Nkome (mkutano rasmi)Sungusila,Igate,Kasota na Bugurula. Wakazi wa Nkome wakimsikiliza Mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni za CCM, Geita Vijijini.
Mgombea wa urais kupitia Chama Cha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Komredi Kinana ahitimisha ziara mkoani Geita, asafiri kwa gari Km 1680, ahutubia mikutano 78 na kukomba wanachama 6816
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Nyamkumbu, Kata ya Katangalala, wakati wa ziara yake mkoani Geita ya Kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km...
10 years ago
VijimamboKOMREDI KINANA AHITIMISHA ZIRA MKOANI GEITA, ASAFIRI KWA GARI KM 1680, AHUTUBIA MIKUTANO 78 NA KUKOMBA WANACHAMA 6816
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km 1680...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-l8wP1bfxC9Q/ViUNud8pjnI/AAAAAAAAqMU/p7s0OrFYqag/s72-c/9.jpg)
ZIKIWA ZIMEBAKIA SIKU 6 TU WATANZANIA WAPIGE KURA MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-l8wP1bfxC9Q/ViUNud8pjnI/AAAAAAAAqMU/p7s0OrFYqag/s640/9.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-trA4yKYuUYw/ViTMx3mUs8I/AAAAAAADBHY/zLhSOYl2Rus/s72-c/_MG_7452.jpg)
MAGUFULI AKIENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI MCHANA HUU SENGEREMA NA GEITA VIJIJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-trA4yKYuUYw/ViTMx3mUs8I/AAAAAAADBHY/zLhSOYl2Rus/s640/_MG_7452.jpg)
9 years ago
MichuziPINDA AHUTUBIA MIKUTANO YA KAMPENI ZA CCM KALAMBO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s72-c/2.jpg)
KINANA AHUTUBIA MKUTANO WA KIHISTORIA KATORO MKOANI GEITA
![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6UfbDRRVZ3E/VYQ8ZQvA_EI/AAAAAAAAe4Q/wnjuWpFjG-k/s1600/3.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/_B4ORnG6aRk/default.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA NA KULIFUNGUA BUNGE LA 11
Rais Magufuli, aliwashukuru wananchi kwa mara nyingine kwa kumuamini na kumchagua, ambapo ameahidi kuwa kiongozi atakayewatumikia watu wote bila kubagua, na kwamba lengo lake ni kuhakikisha nchi ya tanzania inasonga mbele kimaendeleo.
Rais Magufuli kwenye hotuba yake pia akaeleza malalamiko aliyoyapokea kwa wananchi ambayo yeye anaona ni kero kwa wananchi, maeneo ambayo anasema ni lazima yashughulikiwe ipasavyo ili kuleta uaminifu kwa wananchi.
Kuhusu Uchumi rais Magufuli amesema kuwa...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-CWj4giECkD8/ViatS9ahy5I/AAAAAAAAqPo/p0b6hRToM4U/s72-c/11.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA SENGEREMA SEHEMU ALIYOFUNDISHA SEKONDARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-CWj4giECkD8/ViatS9ahy5I/AAAAAAAAqPo/p0b6hRToM4U/s640/11.jpg)
Dk. Magufuli aliwaambia wananchi hao kuwa atakuwa kiongozi mwenye maamuzi makini na kufanya kazi kwa bidii katika kuleta maendeleo kwa Watanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUZG43Han1s/VibxNWsJKiI/AAAAAAAAqQ8/8mLAKMvreds/s640/5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vDif5lgAt9g/VhIb8aTyRaI/AAAAAAADAR4/E-LzGOMh88Q/s72-c/_MG_2760.jpg)
magufuli ahutubia wakazi wa katesh asubuhi hii MKoani Manyara
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDif5lgAt9g/VhIb8aTyRaI/AAAAAAADAR4/E-LzGOMh88Q/s640/_MG_2760.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhbmzRWTrXo/VhIb7j1ecTI/AAAAAAADARw/jh5o-lDVTZw/s640/_MG_2778.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ge-yXb0p4Nc/VhIb5gc_q2I/AAAAAAADARg/1OPHFoNKROc/s640/_MG_2749.jpg)