Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 GEITA

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli leo amehutubia jumla ya mikutano 16 ambapo miwili tu ndio iliyokuwa rasmi,alihutubia Kamanga,Nyamatongo,Katunguru,Kasenyi,Nyamazongo,Luchili,Bukokwa, Kalebezo,Nyehunge(mkutano rasmi), Wezera,Nzera,Nkome (mkutano rasmi)Sungusila,Igate,Kasota na Bugurula. Wakazi wa Nkome wakimsikiliza Mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni za CCM, Geita Vijijini. Mgombea wa urais kupitia Chama Cha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Komredi Kinana ahitimisha ziara mkoani Geita, asafiri kwa gari Km 1680, ahutubia mikutano 78 na kukomba wanachama 6816

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Nyamkumbu, Kata ya Katangalala, wakati wa ziara yake mkoani Geita ya Kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.

Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km...

 

10 years ago

Vijimambo

KOMREDI KINANA AHITIMISHA ZIRA MKOANI GEITA, ASAFIRI KWA GARI KM 1680, AHUTUBIA MIKUTANO 78 NA KUKOMBA WANACHAMA 6816


 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Nyamkumbu, Kata ya Katangalala, wakati wa ziara yake mkoani Geita ya Kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km 1680...

 

9 years ago

CCM Blog

ZIKIWA ZIMEBAKIA SIKU 6 TU WATANZANIA WAPIGE KURA MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 LEO

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli leo amehutubia jumla ya mikutano 16 ambapo miwili tu ndio iliyokuwa rasmi,alihutubia Kamanga,Nyamatongo,Katunguru,Kasenyi,Nyamazongo,Luchili,Bukokwa, Kalebezo,Nyehunge(mkutano rasmi), Wezera,Nzera,Nkome (mkutano rasmi)Sungusila,Igate,Kasota na Bugurula.
Mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Jimbo la Buchosa kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Nyehunge, wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AKIENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI MCHANA HUU SENGEREMA NA GEITA VIJIJINI


  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasikiliza wananchi wa jimbo la Buchosa mapema walipokuwa wakishamgilia mara baada ya kupanda jukwaani na kuwasalimia,mkutano huo wa kampeni umefanyika mapema leo asubuhi katika kijiji cha Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza.Pamoja na mvua kunyesha hapa hapa na pale katika maeneo hayo,Dkt Magufuli anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa wa kampeni katika jimbo la Geita Vijjini katika...

 

9 years ago

Michuzi

PINDA AHUTUBIA MIKUTANO YA KAMPENI ZA CCM KALAMBO

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Kalambo kwa tiketi ya CCM, Josephat Kandege katika mkutano wa kampeni a CCM aliouhutubia katika kijiji cha Samazi  mkoani Rukwa Oktoba 9,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na  Waziri MKuu, Mizengo Pinda  akihutubia mkutano wa kampeni za CCM katika kijiji cha Samazi  mkoani Rukwa Oktoba 9,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AHUTUBIA MKUTANO WA KIHISTORIA KATORO MKOANI GEITA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Katoro mkoani Geita ambapo aliwaambia wananchi hao mwekezaji mzuri nchi wa kwanza ni mwananchi mwenyewe, pia alizungumzia sheria ambazo  nyingi zinazowakadamiza wananchi,zinapoteza nguvu kazi,zinawanyima haki wachimbaji wadogo zapaswa kufutwa.


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Katoro waliojitokeza kwa wingi ,Katika mkutano huo Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi aliwaambia wakazi hao vyama vingi vya...

 

9 years ago

CCM Blog

MAGUFULI AHUTUBIA NA KULIFUNGUA BUNGE LA 11



 Rais Magufuli, aliwashukuru wananchi kwa mara nyingine kwa kumuamini na kumchagua, ambapo ameahidi kuwa kiongozi atakayewatumikia watu wote bila kubagua, na kwamba lengo lake ni kuhakikisha nchi ya tanzania inasonga mbele kimaendeleo.

Rais Magufuli  kwenye hotuba yake pia akaeleza malalamiko aliyoyapokea kwa wananchi ambayo yeye anaona ni kero kwa wananchi, maeneo ambayo anasema ni lazima yashughulikiwe ipasavyo ili kuleta uaminifu kwa wananchi.

Kuhusu Uchumi rais Magufuli amesema kuwa...

 

9 years ago

CCM Blog

MAGUFULI AHUTUBIA SENGEREMA SEHEMU ALIYOFUNDISHA SEKONDARI

 Mgombea Urais upitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Sengerema waliojitokeza kwa wingi wenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnadani, Sengerema.
Dk. Magufuli aliwaambia wananchi hao kuwa atakuwa kiongozi mwenye maamuzi makini na kufanya kazi kwa bidii katika kuleta maendeleo kwa Watanzania.

Mgombea Urais upitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Sengerema akihutubia maelfu ya wakazi wa wilaya ya...

 

9 years ago

Michuzi

magufuli ahutubia wakazi wa katesh asubuhi hii MKoani Manyara


 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika Viwanja vya Ofisi ya CCM mjini Katesh, mkoani Manyara mapema leo asubuhi .Dkt Magufuli anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa jioni ya leo mjini Karatu unaotarajiwa kurushwa live na kituo cha Star TV. Kiongozi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CCM,Ndugu Abdallah Bulembo akiwaonesha wananchi wa Katesh mfano wa karatasi ya kupigia kura na namna ya kumpigia kura Dkt Magufuli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani