PINDA AHUTUBIA MIKUTANO YA KAMPENI ZA CCM KALAMBO
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Kalambo kwa tiketi ya CCM, Josephat Kandege katika mkutano wa kampeni a CCM aliouhutubia katika kijiji cha Samazi mkoani Rukwa Oktoba 9,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri MKuu, Mizengo Pinda akihutubia mkutano wa kampeni za CCM katika kijiji cha Samazi mkoani Rukwa Oktoba 9,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO8lHKEb06MFmo8XmYHEyjLBcH*BMDtSGSesR9*BlInvRkp*BMaH9IG3pxyUoeYuDIuCSefTkLQMTXuBDQO5s2Q9/makamba.jpg?width=650)
MIKUTANO YA KUFUNGA KAMPENI WA CCM
9 years ago
Vijimambo20 Sep
DK. SHEIN AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM JIMBO LA MICHEWENI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1172.jpg)
![6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/669.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Walinzi wa viongozi wa CCM wazuia waandishi binafsi katika mikutano ya kampeni zao.
Katika mkutano wa leo wa CCM wa huko Konde, Pemba nilikuwa nimejipanga kuurusha moja kwa moja kama kawaida yangu ya kurusha mikutano ya kampeni inayofanyika kisiwani Pemba. Teari nimesharusha live mikutano mitatu ya chama cha Wananchi […]
The post Walinzi wa viongozi wa CCM wazuia waandishi binafsi katika mikutano ya kampeni zao. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fIUJFWJc9Ik/ViUOUgiHT5I/AAAAAAAAqNM/QpncSeylljA/s72-c/2.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fIUJFWJc9Ik/ViUOUgiHT5I/AAAAAAAAqNM/QpncSeylljA/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OzeJgPtZMFc/ViUOTw9nxVI/AAAAAAAAqNE/gtJ8OlwZO2U/s640/4.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-l8wP1bfxC9Q/ViUNud8pjnI/AAAAAAAAqMU/p7s0OrFYqag/s72-c/9.jpg)
ZIKIWA ZIMEBAKIA SIKU 6 TU WATANZANIA WAPIGE KURA MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-l8wP1bfxC9Q/ViUNud8pjnI/AAAAAAAAqMU/p7s0OrFYqag/s640/9.jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Pinda aongoza waombolezaji kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pole kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji jijini Dar es salaam Aprili 22, 2014. Kushoto ni mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
aziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pile kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qqc8zVIm7YU/U1bJo3xp-KI/AAAAAAAFcY0/woYraehTvgA/s72-c/unnamed+(47).jpg)
PINDA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MSIBA WA MKUU WA WILAYA YA KALAMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qqc8zVIm7YU/U1bJo3xp-KI/AAAAAAAFcY0/woYraehTvgA/s1600/unnamed+(47).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J18G72hFIr8/U1bJo02JWcI/AAAAAAAFcYw/75WD5a7FbM4/s1600/unnamed+(49).jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Komredi Kinana ahitimisha ziara mkoani Geita, asafiri kwa gari Km 1680, ahutubia mikutano 78 na kukomba wanachama 6816
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Nyamkumbu, Kata ya Katangalala, wakati wa ziara yake mkoani Geita ya Kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km...
10 years ago
VijimamboKOMREDI KINANA AHITIMISHA ZIRA MKOANI GEITA, ASAFIRI KWA GARI KM 1680, AHUTUBIA MIKUTANO 78 NA KUKOMBA WANACHAMA 6816
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km 1680...