Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PINDA AHUTUBIA MIKUTANO YA KAMPENI ZA CCM KALAMBO

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Kalambo kwa tiketi ya CCM, Josephat Kandege katika mkutano wa kampeni a CCM aliouhutubia katika kijiji cha Samazi  mkoani Rukwa Oktoba 9,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na  Waziri MKuu, Mizengo Pinda  akihutubia mkutano wa kampeni za CCM katika kijiji cha Samazi  mkoani Rukwa Oktoba 9,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MIKUTANO YA KUFUNGA KAMPENI WA CCM

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa na Mjumbe wa Kamati ya Kampeni, January Makamba.   CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi wa CCM kitaifa waliopo madarakani na wastaafu. Mikoa hiyo na viongozi wakaoongoza mikutano hiyo ni kama ifuatavyo: 1. Mwanza – Ndugu Jakaya Mrisho...

 

9 years ago

Vijimambo

DK. SHEIN AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM JIMBO LA MICHEWENI

1Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wanachama wa CCM na Wananchi wa Jimbo la Micheweni Wilaya ya Micheweni Mkoa wa kaskazini Pemba katika Mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu pamoja na kuwaombea kura Mgombea Urais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania na Mgombea Mwenza,pia wakiwemo wagombea Ubunge,Uwakilishi na Udiwani. Picha zote na Ikulu.6Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamu Mwenyekiti wa CCM...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Walinzi wa viongozi wa CCM wazuia waandishi binafsi katika mikutano ya kampeni zao.

Katika mkutano wa leo wa CCM wa huko Konde, Pemba nilikuwa nimejipanga kuurusha moja kwa moja kama kawaida yangu ya kurusha mikutano ya kampeni inayofanyika kisiwani Pemba. Teari nimesharusha live mikutano mitatu ya chama cha Wananchi […]

The post Walinzi wa viongozi wa CCM wazuia waandishi binafsi katika mikutano ya kampeni zao. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 GEITA

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli leo amehutubia jumla ya mikutano 16 ambapo miwili tu ndio iliyokuwa rasmi,alihutubia Kamanga,Nyamatongo,Katunguru,Kasenyi,Nyamazongo,Luchili,Bukokwa, Kalebezo,Nyehunge(mkutano rasmi), Wezera,Nzera,Nkome (mkutano rasmi)Sungusila,Igate,Kasota na Bugurula. Wakazi wa Nkome wakimsikiliza Mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni za CCM, Geita Vijijini. Mgombea wa urais kupitia Chama Cha...

 

9 years ago

CCM Blog

ZIKIWA ZIMEBAKIA SIKU 6 TU WATANZANIA WAPIGE KURA MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 LEO

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli leo amehutubia jumla ya mikutano 16 ambapo miwili tu ndio iliyokuwa rasmi,alihutubia Kamanga,Nyamatongo,Katunguru,Kasenyi,Nyamazongo,Luchili,Bukokwa, Kalebezo,Nyehunge(mkutano rasmi), Wezera,Nzera,Nkome (mkutano rasmi)Sungusila,Igate,Kasota na Bugurula.
Mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Jimbo la Buchosa kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Nyehunge, wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda aongoza waombolezaji kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo

PG4A6717

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pole kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji jijini Dar es salaam Aprili 22, 2014. Kushoto ni mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A6726

aziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pile kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji...

 

11 years ago

Michuzi

PINDA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MSIBA WA MKUU WA WILAYA YA KALAMBO

  Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pole kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Marehemu Moshi Chang'a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji jijini Dar es salaam leo Aprili 22, 2014. Kushoto ni mkewe Mama Tunu Pinda. Waziri Mkuu na Mkewe Mama Tunu  Pinda wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Marehemu Moshi Chang'a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji jijini Dar es...

 

10 years ago

Dewji Blog

Komredi Kinana ahitimisha ziara mkoani Geita, asafiri kwa gari Km 1680, ahutubia mikutano 78 na kukomba wanachama 6816

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Nyamkumbu, Kata ya Katangalala, wakati wa ziara yake mkoani Geita ya Kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.

Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km...

 

10 years ago

Vijimambo

KOMREDI KINANA AHITIMISHA ZIRA MKOANI GEITA, ASAFIRI KWA GARI KM 1680, AHUTUBIA MIKUTANO 78 NA KUKOMBA WANACHAMA 6816


 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Nyamkumbu, Kata ya Katangalala, wakati wa ziara yake mkoani Geita ya Kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km 1680...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani