KOMREDI KINANA AHITIMISHA ZIRA MKOANI GEITA, ASAFIRI KWA GARI KM 1680, AHUTUBIA MIKUTANO 78 NA KUKOMBA WANACHAMA 6816
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Nyamkumbu, Kata ya Katangalala, wakati wa ziara yake mkoani Geita ya Kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km 1680...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Komredi Kinana ahitimisha ziara mkoani Geita, asafiri kwa gari Km 1680, ahutubia mikutano 78 na kukomba wanachama 6816
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Nyamkumbu, Kata ya Katangalala, wakati wa ziara yake mkoani Geita ya Kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C9MwL_NPK-4/VQ2KfbA34aI/AAAAAAAC2EU/qYkpsD_1qG0/s72-c/17.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA KISHINDO MKOANI ARUSHA,AVUNA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 4000
![](http://3.bp.blogspot.com/-C9MwL_NPK-4/VQ2KfbA34aI/AAAAAAAC2EU/qYkpsD_1qG0/s1600/17.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cfeWd2iFGTk/VQ2Kei_40NI/AAAAAAAC2EQ/5SQpubwJQFQ/s1600/16.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s72-c/2.jpg)
KINANA AHUTUBIA MKUTANO WA KIHISTORIA KATORO MKOANI GEITA
![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6UfbDRRVZ3E/VYQ8ZQvA_EI/AAAAAAAAe4Q/wnjuWpFjG-k/s1600/3.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fIUJFWJc9Ik/ViUOUgiHT5I/AAAAAAAAqNM/QpncSeylljA/s72-c/2.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA MIKUTANO 16 GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fIUJFWJc9Ik/ViUOUgiHT5I/AAAAAAAAqNM/QpncSeylljA/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OzeJgPtZMFc/ViUOTw9nxVI/AAAAAAAAqNE/gtJ8OlwZO2U/s640/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Komredi Kinana amaliza ziara siku 9 Dodoma, azunguka KM 2289 kukagua miradi 73 na kufanya mikutano 91
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano baada ya kukagua ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Changaa, wilayani Kondoa, wakati wa ziara ya siku tisa iliyomalizika leo mkoani Dodoma ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Katika ziara yake hiyo aliyoambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ilikuwa ya mafanikio makubwa, kwani msafara wake...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pt69k1KaQa4/VXYEo8cbQlI/AAAAAAAC55c/OEp98N9fvH0/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIRA YAKE WILAYANI MULEBA MKOANI KAGERA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pt69k1KaQa4/VXYEo8cbQlI/AAAAAAAC55c/OEp98N9fvH0/s640/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U_bDZEfpI78/VXYEuPQ6f5I/AAAAAAAC55k/92BBOM2-MWY/s640/11.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
CCM Singida yabomoa CHADEMA kwa kukomba wanachama wake 150
![DSC00417](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC00417.jpg)
![DSC00422](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC00422.jpg)
![DSC00407](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC00407.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahitimisha Baraza la sikukuu ya Eid El- Fitri kitaifa mkoani Geita.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia katika Barala la Sikukuu ya Eid El- Fitri iliyofanyika Kitaifa kwenye Ukumbi wa Shule ya Sekondari Wasichana ya Nyankumbu, mkoani Geita Julai 18, 2015. (Picha na OMR).
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Bi Fatma Maswi, akizungumza kuwakaribisha wageni katika hafla hiyo ya Baraza la Sikukuu ya Eid El- Fitri.
Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Ally, akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni...
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Kinana ahutubia wakazi wa Mpwapwa mkoani Dodoma
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mpwapwa kwenye uwanja wa mikutano Mnarani ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa ahadi zilizoahidiwa na CCM zitatekelezwa kama ilivyopangwa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-leGP3-9lOlA/VPc0tc6UGtI/AAAAAAAAXgQ/ZQyirfKYaL4/s1600/2.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Adam Kimbisa akihutubia wananchi wa Mpwapwa mjini na kuwaambia katika uongozi wake atawapa nafasi wale watu wanaotakiwa na wananchi wenyewe kuwaongoza na kusema hakutokuwa na makosa ya kukata majina.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDiB7Kb_Lps/VPdB_b-sYkI/AAAAAAAAXgw/yEPXEKKYO0k/s1600/4.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM...