MAGUFULI ALIVYOUNGURUMA VIWANJA VYA FURAHISHA JIJINI MWANZA
![](http://img.youtube.com/vi/aNSG7mjdjk4/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s72-c/IMG_20141018_182334.jpg)
MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE ALIPOUNGURUMA VIWANJA VYA FURAHISHA MWANZA JANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s640/IMG_20141018_182334.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AycYI3liuZM/VEOWYgbV02I/AAAAAAACRz0/EzRTKrGfc5s/s640/IMG_20141018_182341.jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Serengeti FIESTA 2014 leo kutikisa jiji la Mwanza ndani ya viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza
Mmoja wa wasanii watakaotoa burudani katika matamasha ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta, Vanessa Mdee akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamasha la muziki la mwaka huu la Serengeti Fiesta litakaloanza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapo. Kushoto kwake ni Meneja wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo na mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Sebastian Maganga . Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager....
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mwili wa Kada wa Chadema Mawazo kuagwa Kitaifa katika uwanja wa Furahisha jijini Mwanza!
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Geita Marehemu
Alphonce Mawazo, kesho unatarajiwa kuagwa Jijini Mwanza kabla ya kusafirisha
kwenda Mkoani humo kwa ajili ya Mazishi. Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema Salum Mwalimu, amesema Marehemu Mawazo
ataagwa Kitaifa kwa taratibu za chama hicho, katika uwanja wa Furahisha Jijini
Mwanza. Amesema...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-sFsKadoNSq4/VhYvvuJbqqI/AAAAAAAApns/2XLyOOtRt7g/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.56.20%2BPM.png)
PICHA KUTOKA JIMBO LA NYAMAGANA VIWANJA VYA MILONGO MKOANI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sFsKadoNSq4/VhYvvuJbqqI/AAAAAAAApns/2XLyOOtRt7g/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.56.20%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Ga9fC1vGmM/VhYvx-wojDI/AAAAAAAApn0/mn9pLJhE8zg/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.57.28%2BPM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QmN-t46evNk/VhYv1NGmd_I/AAAAAAAApn8/YWhWUUvmeN0/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.58.18%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Cs2n11UYVo/VhYv3rlWDXI/AAAAAAAApoE/frb6wSEgUwk/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.59.08%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fBK-LC6oD-Y/VhYv5yOFdQI/AAAAAAAApoM/5xKX2bTJn3U/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B7.04.42%2BPM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xnChHw3O-c/VhYwlT8K_OI/AAAAAAAApoc/XPDKTpPAPrc/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B7.01.17%2BPM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sbMTVxr2Fe8/VhYwfsZluVI/AAAAAAAApoU/xpHocTVVC9o/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B7.02.13%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fff9r9yJzXI/VhYwl7wa_nI/AAAAAAAApog/csoo2b9SG4w/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B7.03.15%2BPM.png)
9 years ago
StarTV28 Nov
 Kifo Cha Alphonce Mawazo Mwili wake kuagwa leo Furahisha Mwanza
Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza na baadae kusafirishwa kupelekwa mkoani Geita kwa maandalizi ya mazishi.
Mwili huo ulitakiwa kuagwa jumamosi iliyopita zoezi ambalo lilikwama baada ya zuio la jeshi la polisi mkoani Mwanza kabla ya mahakama kuu kutengua pingamizi hilo mapema jana.
Viongozi wa CHADEMA wamekutana na wanahabari jijini Mwanza kuwaeleza...
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
9 years ago
Habarileo23 Aug
Magufuli kunguruma viwanja vya Jangwani leo
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinatarajiwa kuzindua kampeni zake za urais, ubunge na udiwani nchi nzima katika viwanja vya Jangwani leo, katika mkutano utakaorushwa moja kwa moja na televisheni na redio mbalimbali nchi nzima.