MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI GEITA LEO

Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na Wanaccm na Wananchi wa Mkoa wa Geita, Wakati aliposimama kuwasalimia akitokea jijini Mwanza kuelekea Kijijini kwake Chato. Hapa ni Kivukoni Busisi Mkoani hapo, mapema asubuhi ya leo.
Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya Wanaccm na Wananchi wa Mkoa wa Geita, mara baada ya kuwasili mapema leo asubuhi.
Msafara wa Mgombea Urais alieteuliwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO LEO MCHANA WILAYA YA MUHEZA AKITOKEA WILAYA YA HANDENI MKOANI TANGA



10 years ago
GPLMAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO ARUSHA
10 years ago
Vijimambo
MAGUFULI AITEKA ARUSHA,APOKELEWA KWA KISHINDO


10 years ago
Michuzi
MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO MJINI BUKOBA


10 years ago
GPL
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI KILIMANJARO, ADHAMINIWA NA WANACCM 33,780
10 years ago
GPL
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI SIMIYU, APATA WADHAMINI 5,000
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AFUNGA KAZI JIJINI ARUSHA,APOKELEWA KWA KISHINDO.



10 years ago
GPLMHE. MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO DAR, AHUTUBIA NYOMI MBAGALA
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Magufuli aendelea na kampeni zake jijini Dar, apokelewa kwa kishindo

Dk. John Pombe Magufuli Mgombea Urais kupitia CCM akiwanadi wagombea kiti cha Udiwani kwa wakazi wa Kinondoni kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Biafra Kinondoni jijini Dar es salaam.(PICHA NA MICHUZI JR-DAR ES SALAAM).

Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Ubungo.Sinza jijini Dar kwenye uwanja wa TP wakati wa kampeni.Dkt Magufuli ameendelea na kampeni zake mkoani Dar es salaam,ambapo kesho ataendelea kuhutubia kwenye majimbo mbalimbali ya jiji hilo.
Mgombea...