Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli na Ushairi

Uokoe ushairi, Mheshimiwa Magufuli, Tuokoe jemadari, kwa mawazo hatulali, Kazi zetu pia ari, za bure hawatujali, Ni Rais Magufuli uokoe ushairi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSHINDI WA TUZO YA USHAIRI APATIKANA

Washindi wa tuzo za ushairi wa kwanza kulia ni mshindi wa pili Rashidi Abdu Rai, katikati mshindi wa kwanza Esther Mgondo na Sylvin Makila aliyeshika nafasi ya tatu. Mgeni rasmi Profesa Helman Mwansoko akizungumza jambo.…

 

9 years ago

Raia Mwema

Ushairi, jukwaa la kisiasa la Nyerere

TANGU kale, ushairi wa Kiswahili ulioandikwa na ule ulionenwa kwa mdomo (simulizi), ulifungamana

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwalimu Nyerere katika uga wa ushairi

Rais wa awamu ya kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (pichani) alizaliwa mwaka 1922 katika  Wilaya ya Butiama Mkoa wa  Mara, mnamo tarehe 14 Oktoba, 1999, aliaga dunia katika hospitali ya mtakatifu  Thomas  Jijini London  nchini Uingereza.  

Katika uhai wake,  alikuwa ni Mmalenga.  Aliandika barua ya Kiserikali kwa mtindo wa utenzi, pia alijibiwa barua hiyo  kwa mtindo wa utenzi na Nguli/Karii,  Hayati Saadani Abdul Kandoro...

 

9 years ago

Michuzi

MWALIMU NYERERE KATIKA UGA WA USHAIRI

  RAIS wa awamu ya kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere  alizaliwa mwaka 1922 katika  Wilaya ya Butiama Mkoa wa  Mara, mnamo tarehe 14 Oktoba, 1999, aliaga dunia katika hospitali ya mtakatifu  Thomas  Jijini London nchini Uingereza.  
Katika uhai wake,  alikuwa ni Mmalenga.   Aliandika barua ya Kiserikali kwa mtindo wa utenzi, pia alijibiwa barua hiyo  kwa mtindo wa utenzi na Nguli/Karii,  Hayati Saadani Abdul Kandoro aliyekuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sheikh Mataka: Ushairi nchini umekufa na kuzikwa

Kila lugha ina tanzu zake. Ushairi unatajwa kuwa miongoni mwa tanzu hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani