MWALIMU NYERERE KATIKA UGA WA USHAIRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Kgvm9fl0qQw/VflDgBhXdLI/AAAAAAAH5RU/eumVQ_OyMlE/s72-c/Kandoro.jpg)
RAIS wa awamu ya kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 katika Wilaya ya Butiama Mkoa wa Mara, mnamo tarehe 14 Oktoba, 1999, aliaga dunia katika hospitali ya mtakatifu Thomas Jijini London nchini Uingereza.
Katika uhai wake, alikuwa ni Mmalenga. Aliandika barua ya Kiserikali kwa mtindo wa utenzi, pia alijibiwa barua hiyo kwa mtindo wa utenzi na Nguli/Karii, Hayati Saadani Abdul Kandoro aliyekuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Mwalimu Nyerere katika uga wa ushairi
Rais wa awamu ya kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (pichani) alizaliwa mwaka 1922 katika Wilaya ya Butiama Mkoa wa Mara, mnamo tarehe 14 Oktoba, 1999, aliaga dunia katika hospitali ya mtakatifu Thomas Jijini London nchini Uingereza.
Katika uhai wake, alikuwa ni Mmalenga. Aliandika barua ya Kiserikali kwa mtindo wa utenzi, pia alijibiwa barua hiyo kwa mtindo wa utenzi na Nguli/Karii, Hayati Saadani Abdul Kandoro...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Ushairi, jukwaa la kisiasa la Nyerere
TANGU kale, ushairi wa Kiswahili ulioandikwa na ule ulionenwa kwa mdomo (simulizi), ulifungamana
Mwandishi Wetu
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Chuo cha Mwalimu Nyerere charudi katika enzi zake
RAIS wa kwanza wa Tanzania, Julius Nyerere alijipambanua kwa kuchukia mafisadi na watumishi wavivu. Maisha yake yote alilisimamia hilo na alipopata wasaa alikemea.
Ndio maana katika harakati za kupatikana uhuru wa Tanganyika, alibuni wazo la kuwa na chuo kitakachowafunza viongozi maadili ya umma na namna bora ya kutoa huduma, chuo hicho kilianza na makada wa chama cha Tanganyika National Union (TANU).
Baada ya uhuru viongozi wote walipoteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali walipitia...
10 years ago
Michuzi14 Oct
10 years ago
GPLTASWIRA KATIKA MAHAFALI YA 9 YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR
9 years ago
VijimamboYALIYOJIRI LEO KATIKA UKUMBI WA MWALIMU NYERERE YALIPOKUWA YANATANGAZWA MATOKEO YA AWALI YA URAIS
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bQuy-njrnKo/default.jpg)
10 years ago
MichuziTASWIRA KATIKA MAHAFALI YA TISA YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YqCGM3cGIB0/VZJoYWUmxoI/AAAAAAAHl3M/OhwBjY61ZtA/s72-c/DSC_0983.jpg)
MAONYESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA BIASHARA KATIKA VIWANJA VYA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://2.bp.blogspot.com/-YqCGM3cGIB0/VZJoYWUmxoI/AAAAAAAHl3M/OhwBjY61ZtA/s640/DSC_0983.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o3Le99Ty2hY/VZJoakQvAFI/AAAAAAAHl3k/ohjjZ7FQ5UU/s640/DSC_0986.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ev8rRuRAHdQ/VZJoa1TpjLI/AAAAAAAHl3s/HqIFfYoRXJs/s640/DSC_1001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-M1aMuoa0bQ4/VZJob_WH1GI/AAAAAAAHl34/KbSc1CjO7FE/s640/DSC_1004.jpg)