Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Nikishinda sina deni la fadhila.

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema hana deni la kulipa kwa mtu yeyote akichaguliwa kushika wadhifa huo kwa kuwa hakutoa rushwa wakati wa uteuzi ndani ya chama hicho.

Magufuli alitoa kauli hiyo jana wakati akijinadi yeye na wagombea udiwani na ubunge wa CCM mkoani hapa ili wachaguliwe katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Dk. Magufuli alikuwa akijinadi na wagombea hao kwa nyakati tofauti katika mji wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Sina mchezo

Pg 1 magufuliNA BAKARI KIMWANGA, MTWARA

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema Serikali yake haitakuwa na mchezo wala ubabaishaji, hasa kwa watumishi wa umma.

Alisema kutokana na msimamo wake huo ambao baadhi ya watu wanaujua, umefanya baadhi ya wabadhirifu ambao ni watumishi wa umma wamchukie.

Kauli hiyo aliitoa jana katika mikutano yake ya kampeni ya kuomba kuchaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano, katika wilaya za Newala, Tandahimba na Mtwara Vijijini na baadaye...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Magufuli: Sina mpango wa urais

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema kuwa hana mpango na urais wala kujitangaza kuwania nafasi hiyo. Hatua hiyo ilitokana na wananchi wengi kumshangilia na kumwita rais wakati ziara ya...

 

9 years ago

Habarileo

Sumaye: Sina tatizo na Magufuli

WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye hatimaye ametangaza rasmi kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kujiunga na Umoja wa vyama vya Upinzani vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba (UKAWA), huku akisema kwamba hana tatizo na mgombea Urais wa CCM Dk John Magufuli.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli: Nina deni kubwa kwa Watanzania

Rais John Magufuli amesema ana deni kubwa kwa Watanzania baada ya wananchi kuonyesha imani kwake, huku akiwaambia wapinzani kuwa uchaguzi umekwisha na yeye ndiye Rais.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Dkt John Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Tanzania, aahidi kuwatumikia wananchi ‘nina deni kubwa’

ma35

Dokta John Pombe Magufuli, Alhamis hii ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika.

ma35
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akiapishwa Alhamis hii

Ikiwa ni siku iliyotangazwa na Rais aliyeondoka madarakani Jakaya Kikwete kuwa ya mapumziko, wananchi wengi walishuhudia kuapishwa kwa Magufuli kupitia runinga zao. Wengine walisikiliza matangazo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamthilia ya ‘Fadhila ya Moyo’ yapikwa

TAMTHILIA mpya ya Kiswahili inayokwenda kwa jina la ‘Fadhila ya Moyo’, ambayo pia itakusanya baadhi ya waigizaji nyota hapa nchini, iko mbioni kutoka. Mwandaaji wa Tamthilia hiyo ambayo ni Kiongozi...

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

GPL

WATOTO WA LAMAR ODOM WAMLIPA FADHILA KHLOE KARDASHIAN

 Staa wa mpira wa kikapu, Lamar Odom. Las Vegas, Marekani
WATOTO wa staa wa mpira wa kikapu,Lamar Odom, 35, Lamar Jr na Destiny hivi karibuni wamelipa fadhila kwa kumshukuru mama yao wa kufikia,Khloe Kardashian kwa mapenzi ya dhati aliyoyaonesha kwa baba yao tangu alipozidiwa Oktoba 13, mwaka huu. Akichonga na mtandao maarufu wa burudani nchini Marekani mtu wa karibu kutoka ndani ya familia hiyo alisema watoto hao wamefikia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani