Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Sina mchezo

Pg 1 magufuliNA BAKARI KIMWANGA, MTWARA

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema Serikali yake haitakuwa na mchezo wala ubabaishaji, hasa kwa watumishi wa umma.

Alisema kutokana na msimamo wake huo ambao baadhi ya watu wanaujua, umefanya baadhi ya wabadhirifu ambao ni watumishi wa umma wamchukie.

Kauli hiyo aliitoa jana katika mikutano yake ya kampeni ya kuomba kuchaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano, katika wilaya za Newala, Tandahimba na Mtwara Vijijini na baadaye...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Magufuli: Sina mpango wa urais

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema kuwa hana mpango na urais wala kujitangaza kuwania nafasi hiyo. Hatua hiyo ilitokana na wananchi wengi kumshangilia na kumwita rais wakati ziara ya...

 

9 years ago

Habarileo

Sumaye: Sina tatizo na Magufuli

WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye hatimaye ametangaza rasmi kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kujiunga na Umoja wa vyama vya Upinzani vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba (UKAWA), huku akisema kwamba hana tatizo na mgombea Urais wa CCM Dk John Magufuli.

 

9 years ago

Vijimambo

Magufuli: Nikishinda sina deni la fadhila.

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema hana deni la kulipa kwa mtu yeyote akichaguliwa kushika wadhifa huo kwa kuwa hakutoa rushwa wakati wa uteuzi ndani ya chama hicho.

Magufuli alitoa kauli hiyo jana wakati akijinadi yeye na wagombea udiwani na ubunge wa CCM mkoani hapa ili wachaguliwe katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Dk. Magufuli alikuwa akijinadi na wagombea hao kwa nyakati tofauti katika mji wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Okwi: Sina Ubaguzi

Okwi

 

Mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi.

Na Mwandishi wetu

Mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi, amesema yeye hachagui mchezaji wa kucheza naye anapokuwa uwanjani anachotaka yeye kupangwa na mchezaji ambaye anajituma.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Okwi alisema, kama mchezaji hana sababu ya kuchagua mchezaji wa kucheza naye wote kwake sawa cha msingi wawe wanasaidiana.

“Sioni sababu ya kutaja jina la mchezaji ambaye napenda au nafurahia kucheza naye, wote sawa lakini...

 

10 years ago

Mwananchi

Sina mpango wa kuigiza

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Meninah Atick amesema hawezi kuingia katika sanaa ya filamu kwa sababu yoyote kwani hana kipaji cha kuigiza. Meninah ambaye pia ni mwandishi wa habari aliyebobea katika utangazaji amesema haoni kama anaweza kujikita kwenye uigizaji kwa siku za karibuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani