Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Okwi: Sina Ubaguzi

Okwi

 

Mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi.

Na Mwandishi wetu

Mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi, amesema yeye hachagui mchezaji wa kucheza naye anapokuwa uwanjani anachotaka yeye kupangwa na mchezaji ambaye anajituma.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Okwi alisema, kama mchezaji hana sababu ya kuchagua mchezaji wa kucheza naye wote kwake sawa cha msingi wawe wanasaidiana.

“Sioni sababu ya kutaja jina la mchezaji ambaye napenda au nafurahia kucheza naye, wote sawa lakini...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Okwi: Sina mpango wa kurudi Bongo

WAKATI uongozi wa Yanga ukidai hauna muda kuendelea kulijadili suala la mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi, mshambuliaji huyo naye amesema hana mpango wa kurudi kucheza soka Tanzania. Akizungumza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi

Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi:Gyan alalama

Mshambuliaji wa timu ya Ghana Asamoah Gyan amemshtumu mchezaji wa timu ya Al Hilal Mihai Pintilii kwa kum'bagua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa mashabiki wa Chelsea watolewa

Kanda ya video inayowaonyesha mashabiki wa kilabu ya Chelsea wakimzuia mtu mweusi kuingia katika treni mjini Paris imetolewa.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi

Shirikisho la Soka duniani FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi dhidi ya Manchester City

 

11 years ago

Habarileo

‘Serikali tatu kuibua ubaguzi’

Makamu Mwenyekiti Kamati Namba Tano, Assumpter MshamaKAMATI za Bunge Maalumu la Katiba zimeanza kuwasilisha bungeni maoni yake, kuhusu mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya, huku wengi wakikataa muundo wa serikali tatu, kwa kusema utaibua hisia za ubaguzi kwa wananchi wa taifa moja.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Dhambi ya ubaguzi inaiua CHADEMA


CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema dhambi ya ubaguzi ndani ya CHADEMA inaiua na sio kwamba kuna mkono wa CCM.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji wa Mto wa Mbu.
Nape alisema CHADEMA inaelekea kufa kutokana na kukumbatia dhambi ya ubaguzi na umwagaji wa damu za wananchi wasio na hatia.
ìTulijua watasema kuwa sisi CCM tumeingiza mkono wetu ndani ya chama chao, hiyo si kweli....

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtetezi wa ubaguzi kusalia jela SA

Mahakama imekataa kumwachilia aliyekuwa kiongozi wa kikosi cha kupinga harakati za ukombozi nchini Afrika Kusini, Eugene de Kock

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani