Okwi: Sina mpango wa kurudi Bongo
WAKATI uongozi wa Yanga ukidai hauna muda kuendelea kulijadili suala la mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi, mshambuliaji huyo naye amesema hana mpango wa kurudi kucheza soka Tanzania. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3z0ObFNVmwSeMJI9C-*2jwuWqBoMyjKVabhwFURfac0YMrrF80LSVuH3sjojniv50MCjj8kMUuzjqtLkkw2cRJK/mkude.gif)
Mke amzuia Okwi kurudi Simba
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Okwi: Sina Ubaguzi
Mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi.
Na Mwandishi wetu
Mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi, amesema yeye hachagui mchezaji wa kucheza naye anapokuwa uwanjani anachotaka yeye kupangwa na mchezaji ambaye anajituma.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Okwi alisema, kama mchezaji hana sababu ya kuchagua mchezaji wa kucheza naye wote kwake sawa cha msingi wawe wanasaidiana.
“Sioni sababu ya kutaja jina la mchezaji ambaye napenda au nafurahia kucheza naye, wote sawa lakini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl9CzErJQ6thPtsNAzxYh55h9Sgt1FI*ESV6FzdOt4cKN2FE3F5jYHvSDOMVSBf*qL-7JE2f69qB8JsNM4xA47hf/OKWI.jpg?width=600)
Okwi afunguka: Sitaki kurudi Tunisia tena
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Sina mpango wa kuigiza
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Lowassa: Sina mpango wa kushindwa
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akisema hana mpango wa kushindwa.
Lowassa aliwasili katika Makao Makuu ya CCM mjini hapa jana saa 10:20 jioni akiambatana na mkewe, Regina huku akisindikizwa na wabunge mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wanachama waliokuwapo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mara baada ya kuchukua...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Magufuli: Sina mpango wa urais
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema kuwa hana mpango na urais wala kujitangaza kuwania nafasi hiyo. Hatua hiyo ilitokana na wananchi wengi kumshangilia na kumwita rais wakati ziara ya...
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jul
Ndikilo: Sina mpango wa jimbo
NA BLANDINA ARISTIDES MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Evarist Ndikilo, amesema hana ndoto ya kugombea ubunge katika jimbo la Nyamagana kama inavyodaiwa.
Mhandisi Ndikilo alitoa kauli hiyo jana, baada ya mbunge wa jimbo hilo, Ezekia Wenje, kudai kuwa mkuu huyo wa mkoa anataka kugombea jimbo hilo.
Wenje alitoa tuhuma hizo mwishoni mwa wiki, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi Tambuka Reli, jijini hapa.
Katika mkutano huo, Wenje alitumia muda mwingi kutoa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLp6q07BwgW97GqwajAJ9hCXo8265iKQk8qTsqZRD7wC7rPuBZR5DKuR*DEDU9igYgoSY*e4qw0zNUoMq*eE1xE/CHOKI.jpg)
ALLY CHOKI:SINA MPANGO NA SIASA
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Mpoto: Sina mpango kusaka ubunge
MSANII mahiri wa utunzi wa mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’, amesema hana mpango wa kugombea ubunge kama ilivyokuwa ikidaiwa na vyombo vya habari. Kauli ya Mjomba imekuja baada ya wadau wa...