Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Okwi: Sina mpango wa kurudi Bongo

WAKATI uongozi wa Yanga ukidai hauna muda kuendelea kulijadili suala la mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi, mshambuliaji huyo naye amesema hana mpango wa kurudi kucheza soka Tanzania. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Mke amzuia Okwi kurudi Simba

Mshambuliaji wa Simba,Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu
KUMEKUWA na taarifa zinazotofautiana kuhusiana na kuchelewa kwa mshambuliaji Emmanuel Okwi aliye kwao Uganda, lakini ukweli sasa ni kwamba suala la ndoa, ndilo lililomchelewesha. Uchunguzi wa Championi Ijumaa kuhusiana na suala hilo umeanzia jijini Kampala, Uganda na ikabainika Okwi yuko katika mipango ya kutaka kufunga ndoa.Baada ya taarifa hizo, imekuwa vigumu kupata...

 

10 years ago

Dewji Blog

Okwi: Sina Ubaguzi

Okwi

 

Mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi.

Na Mwandishi wetu

Mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi, amesema yeye hachagui mchezaji wa kucheza naye anapokuwa uwanjani anachotaka yeye kupangwa na mchezaji ambaye anajituma.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Okwi alisema, kama mchezaji hana sababu ya kuchagua mchezaji wa kucheza naye wote kwake sawa cha msingi wawe wanasaidiana.

“Sioni sababu ya kutaja jina la mchezaji ambaye napenda au nafurahia kucheza naye, wote sawa lakini...

 

11 years ago

GPL

Okwi afunguka: Sitaki kurudi Tunisia tena

Emmanuel Okwi. KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi amesema hataki kuzisikia wala kuzungumzia habari za Simba na Etoile du Sahel kwa kuwa hana mpango wa kurejea alikotoka. Okwi ametoa tamko hilo ikiwa ni siku chache mara baada ya kupewa ‘kifungo’ cha muda, huku uongozi wa Yanga ukisisitiza kuwa utamtumia mchezaji huyo katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Komorozine ya Comoro inayotarajiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sina mpango wa kuigiza

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Meninah Atick amesema hawezi kuingia katika sanaa ya filamu kwa sababu yoyote kwani hana kipaji cha kuigiza. Meninah ambaye pia ni mwandishi wa habari aliyebobea katika utangazaji amesema haoni kama anaweza kujikita kwenye uigizaji kwa siku za karibuni.

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Sina mpango wa kushindwa

lowassaNA WAANDISHI WETU, DODOMA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akisema hana mpango wa kushindwa.
Lowassa aliwasili katika Makao Makuu ya CCM mjini hapa jana saa 10:20 jioni akiambatana na mkewe, Regina huku akisindikizwa na wabunge mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wanachama waliokuwapo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mara baada ya kuchukua...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Magufuli: Sina mpango wa urais

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema kuwa hana mpango na urais wala kujitangaza kuwania nafasi hiyo. Hatua hiyo ilitokana na wananchi wengi kumshangilia na kumwita rais wakati ziara ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Ndikilo: Sina mpango wa jimbo


NA BLANDINA ARISTIDES MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Evarist Ndikilo, amesema hana ndoto ya kugombea ubunge katika jimbo la Nyamagana kama inavyodaiwa.
Mhandisi Ndikilo alitoa kauli hiyo jana, baada ya mbunge wa jimbo hilo, Ezekia Wenje, kudai kuwa mkuu huyo wa mkoa anataka kugombea jimbo hilo.
Wenje alitoa tuhuma hizo mwishoni mwa wiki, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi Tambuka Reli, jijini hapa.
Katika mkutano huo, Wenje alitumia muda mwingi kutoa...

 

11 years ago

GPL

ALLY CHOKI:SINA MPANGO NA SIASA

Stori: Elvan Stambuli
MWANAMUZIKI nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasi” amesema hana mpango wa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwakani na wala hana mpango wa kuingia katika siasa. Mwanamuziki nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasi”. Choki aliyasema hayo katika mahojiano ya ana kwa ana na waandishi wa Global Publishers katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mpoto: Sina mpango kusaka ubunge

MSANII mahiri wa utunzi wa mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’, amesema hana mpango wa kugombea ubunge kama ilivyokuwa ikidaiwa na vyombo vya habari. Kauli ya Mjomba imekuja baada ya wadau wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani